Huu ndio ujio mpya wa msanii Menina
Menina product ya Bongo star search anakualika kusikiliza ujio wake mpya na wimbo wa Pipi ya Kijiti. Enjoy kuusikiliza hapa.
Wasanii wa Afrika watakaokutana na Rais Obama akiwemo Mtanzania mmoja
A.Y akiwa na wasanii wengi wakubwa kutoka Africa wamesafiri pamoja na mchezaji wa Manchester city “Yaya Toure” kwenda Washington D.C Marekani kwa ajili ya mkutano utakaofanyika kati ya tarehe 4…
Mwanaume aliyefiti zaidi kwa mujibu wa jarida Men’s Health – ni mwanasoka
Jarida la masuala ya afya la wanaume la nchini Uingereza kwenye toleo lake jipya limemtaja mwanaume aliyefiti zaidi duniani kutokana na vigezo vyao. Mwanasoka bora wa dunia na mshambuliaji wa…
Hii ni kuhusu Mrisho Mpoto chupuchupu kuvamiwa na Majambazi.
Jeshi la Polisi limekwisha toa taarifa mara kadhaa juu ya usafirishwaji wa pesa kutoka eneo moja kwenda eneo jingine hasa kutumia njia sahihi ya kusafirisha hizo pesa bila kubeba kwenye…
Isikilize hapa single mpya ya Dudubaya anayomwambia Shetani ampishe.
Ni time yako kusikiliza single mpya ya Dudubaya, msanii mwingine wa longtime kwenye bongofleva ambae jina lake lipo kwenye list ya Wasanii wa bongofleva waliowahi kumiliki Top10 kwa hits kama…
Angalia ugomvi wa Keita vs Pepe – bifu lao la El Clasico lahamia Marekani
Upinzani wa jadi ni kitu cha kawaida sana kwenye mchezo wa soka duniani kote, Tanzania kuna Simba vs Yanga, Uingereza kuna Manchester United vs Liverpool, Misri kuna Al Ahly vs…
Kwenye vile visa vya mapenzi na simu… hii nayo ilivunja rekodi
Kuna zile habari ambazo hata ziwe zimetokea miezi au miaka mingapi nyumba, huwezi tu kuzisahau kwa sababu sio za kawaida kuzisikia au kuzishuhudia kabisa. Tumekua tukisikia visa vingi sana vinavyotokana…
August 01 huu ni uchambuzi wa Magazeti ukisomwa Redioni.
Kama wakati magazeti haya yakisomwa Redioni ulikua busy mtu wangu wala usisikitike hapa nimekurekodia magazeti haya yakisomwa na kuchambuliwa kupitia kipindi cha Power Breakfast na PJ. 88.1 Clouds Fm inasikika…
Ripoti ya utafiti wa matokeo ya vita hii ya Israel dhidi ya Palestina
Zikiwa ni zaidi ya wiki tatu zimepita toka kuibuka tena kwa vita ya Israel dhidi ya Palestina, mpaka sasa utafiti unaonyesha ni zaidi ya watu 1450 wamepoteza maisha kutokana na…
Magazeti ya leo August 01 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…