Uliipata hii mpya kuhusu kocha Logarusic wa Simba?
Ni saa kadhaa tu baada ya kumalizika kwa Simba Day kulikochezwa mechi uwanja wa Taifa Dar es salaam ambayo Simba iliishia kuchapwa 3- 0 na timu ya ZESCO ya Zambia.…
Picha 20 za nyumba kali ya leo… labda unaweza kupata chochote
Ni utaratibu wa millardayo.com kukupa vitu nje ya habari, karibu kwenye post ya nyumba leo ambayo inakupa nafasi ya kupata ideas ya kujenga au kubadili kwa kufanya chochote kwenye nyumba…
Pichaz za Rais Uhuru Kenyatta na Akon nchini Marekani.
President Uhuru Kenyatta wa Kenya ni miongoni mwa Marais wachache wenye umri mdogo kulinganisha na Marais wengi ambapo amekua akienda sawa na baadhi ya mahitaji au tabia ya vijana wengi…
Ungependa kuwasikia Diamond na Mo Music wakirap? sikiliza hapa
Uzito wa majina yao umeongezeka kutokana na Mamilioni ya mashabiki kuwajua kupitia muziki wa kuimba na sio kurap ndio maana inakua stori ikitokea wamesikika wakirap hata kwa sekunde 15. Wakali…
Ndege nyingine iliyoanguka na kuua abiria wote
Ndege ya kampuni ya Taban Air imeripotiwa kuanguka katika makazi ya watu baada kupaa kutoka uwanja wa ndege wa Mehrabad Magharibi mwa mji wa Tehran nchini Iran. Ndege hiyo inayojulikana kama…
Hivi ndivyo Serengeti Fiesta ilivyokuwa usiku wa August 09 Mwanza.
Mwanza umekua ndiyo mkoa wa kwanza kufungua shamra shamra hizi za Fiesta kwa mwaka 2014 ambapo on stage zaidi ya wasanii 15 walipata nafasi ya kushow love na wakazi wa…
Magazeti ya leo Jumapili August 10 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Mapya kuhusu Didier Drogba kwenye soka
Didier Drogba ambaye amejiunga tena na club Chelsea baada ya kuondoka kwenye club hiyo kipindi kilichopita ameingia kwenye headline na story mpya. Drogba amekuwa captain ya timu ya taifa ya…
Haya ndiyo mavazi wanayovaa wahudumu wa ndege kujikinga na Ebola
Ugonjwa wa Ebola umelipuka sana huko Africa magharibi na umeua watu wengi sana. Hivi sasa mambo mengi yanafanywa ili kukinga watu dhidi ya maambuzi mampya. Njia moja wapo ni kutenga…
Stori mpya kuhusu daraja la Kigamboni na kivuko kipya.
Waziri wa Ujenzi John Magufuli amesema Serikali inatarajia kuongeza kivuko kingine cha kuvusha watu Kigamboni ambacho kitagharimu shilingi bilioni 3.7 wakati ujenzi wa daraja ukiendelea. Anasema daraja linalojengwa sasa hivi…