Unaambiwa huyu kwenye harakati za uokoaji yeye aliamua kuondoka na King’amuzi.
Kwa takribani Wiki kadhaa zilizopita ulitokea moto maeneo ya mwananyamala ambao uliteketeza baadhi ya mali za watu,sasa unaambiwa wakati wa uokoaji majirani wakiwa wanasaidiana kuokoa vitu na kuzima moto jirani…
Maneno ya Ay baada ya hizi picha 12 akiwa Ikulu Marekani na alichokutana nacho
A.Y tayari ameshafika Marekani na wameanza kwa kukutana na Wafanyakazi wa ofisi ya Rais Barack Obama ambapo msafara huo wa wasanii wa Afrika umepata nafasi ya kuzunguka sehemu mbalimbali ndani…
Unaifahamu lugha ya Ki-etnam? kuna dili hapa
Kama ulikuwa umetulia na unajua lugha hii basi Polisi wa uwanja wa kimataifa wa ndege wa Mwalimu Nyerere wametoa dili kwa yoyote anayejua lugha ya Ki-etnam kwa sababau bado wanamatafuta…
Ulikua mbali na Radio? nimekurekodia Magazeti ya Tanzania leo August 4 yakisomwa hapa
Unapomalizia kupitia kurasa mbalimbali za Magazeti ya siku husika millardayo.com inakupa nafasi ya kusikiliza uchambuzi wa magazeti yote ambayo huwa nakurekodia yakisomwa Redioni ili kuzipata kwa kina zile habari mtu…
Picha 25 kutoka kwenye instagram party
Instagram party ilifanyika Escape 1 na watu wengi walifika eneo la tukio. Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye party hiyo
Magazeti ya August 04 2014 na Stori kubwa za Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Matokeo na ripoti nzima ya mchezo wa Tanzania vs Msumbiji hii hapa
HATIMAYE safari ya timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kuwania tiketi ya kucheza fainali za mataifa ya Africa, AFCON 2015 nchini Morocco amefia mikononi mwa timu ya taifa ya…
Picha za party ya Farewell kwa wafanyakazi wa Clouds Media Group
Ijumaa ndani ya Escape 1 Clouds Media Group iliandaa farewell party ya wafanyakazi wake watatu Mr Changamike ambaye alikuwa HR, Regina Mwalekwa alikuwa mtangazaji wa Clouds FM na TV pamoja…
Muigizaji Pastor Myamba apewa zawadi ya Tsh milioni 250.
Hii imetoka kwenye instagram ya actor JB na inamuhusu muigizaji mwenzake wa bongomovie ambaye amefunga ndoa hivi karibuni. Kwenye hiyo post taarifa ni kwamba pesa hizo hii ni moja ya…
Hiki ndicho kilichotokea kwenye collabo ya Beyonce na Nicki Minaj – Flawless ( Remix)
Wakali wawili wanaposhirikiana lazima product kali itatokea, sasa basi Beyonce na Nick Minaj wamekuletea hii kwa ajili yako. Unataka niwe nakutumia kila stori inayonifikia? niko tayari kukutumia wakati wowote iwe…