Mashabiki wa Ujerumani na Argentina Copacabana beach Rio de Janeiro July 13 2014
Karibu kwenye ufukwe wa Copabana, hizi picha ni za saa kadhaa kabla ya mechi ya fainali ya kombe la dunia kwenye huu ufukwe mkubwa na maarufu duniani unaopatikana kwenye jiji…
Full time ya Ujerumani vs Argentina, tuzo za wanasoka bora wa michuano
Baada ya mwezi mmoja hatimae michuano ya kombe la dunia imemalizika nchini Brazil ambapo mechi ya fainali iliwakutanisha Ujerumani vs Argentina jijini Rio de Janeiro kwenye uwanja wa Maracana. Ushindi…
Huyu ndio mwigizaji wa filamu ya Harry Potter aliyekutwa amekufa.
Mwigizaji raia wa Uingereza aliyecheza series za Harry Potter amekutwa amekufa jijini California, kwa mujibu wa mamlaka za eneo hilo. Dave Legeno, mwenye umri wa miaka 50, alikutwa akiwa amepoteza…
Taarifa mpya za mchekeshaji Tracy Morgan juu ya afya yake.
Mchekeshaji maarufu wa nchini Marekani Tracy Morgan ameruhusiwa kutoka hospitalini wiki tano baada ya kulazwa akiwa amejeruhiwa vibaya katika ajali mbaya ya gari iliyosababisha kifo cha mchekeshaji mwenzie. Mchekeshaji huyo…
Staa mwingine wa Michezo aliyejitangaza kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja.
Bingwa mara tano wa kuogelea katika michuano ya Olimpiki duniani Ian Thorpe amejitangaza hadharani kuwa ni shoga katika moja ya mahojiano yake nchini Australia. Awali Thorpe alikuwa akinakusha kuwa anajihusisha…
Picha 35 za utengezwaji wa video ya Profesa Jay – Kipi Sijasikia.
Mwanzoni wakati zinasambaa picha za Diamond akiwa na Profesa Jay watu wengi tulikua tukijiuliza aina ya muziki ya muziki unaotaka kufanywa na wawili hawa ambao kwa hesabu ya haraka haraka…
Kilichojiri kwenye mechi ya Uholanzi vs Brazil na hatma ya Kocha Fellipe Scolari
Hatimaye michuano ya kombe la dunia inafikia tamati leo kwa mchezo wa fainali kati ya Ujerumani dhidi ya Argentina, wakati usiku wa jana mshindi wa 3 wa michuano hiyo aliamuliwa…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo July 13 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Hiki ndicho alichokifanya Terrence J Tanzania Leo July 12.
Tanzania imepata ugeni toka Nchini Marekani naye si mwingine ni Terrence J ambaye pia ni mtangazaji wa E! Entetainment Tv ya Nchini Marekani,akiwa na wenzake amefanikiwa kuikanyaga ardhi ya Tanzania…
Matokeo ya Chanjo ya kwanza ya Ugonjwa wa Dengue uliousumbua Tanzania.
Utafiti kutoka katika jarida la Lancet unaonyesha zaidi ya asilimia 50 ya watoto ambao wamepewa chanjo hiyo wamepata ulinzi dhidi ya ugonjwa huo. Nusu ya idadi ya watu duniani wako…