Kuhusu idadi ya kushtua ya watoto wanaokimbizwa hospitalini kutokana na ulevi wa kupindukia.
Watoto wawili wenye umri wa chini ya miaka 11 wanakimbizwa hospitalini kila wiki kutokana na matatizo ya ulevi wa kupindukia kwa mujibu wa ripoti mpya iliyotolewa leo nchini Uingereza. Idadi…
Hii hapa video mpya ya Young Killer – My Power
Baada ya video ya Mrs.Super Star hii ni video mpya ya Young Killer hapa kamshirikisha Damian Soul,video hii imefanywa na Director Jackson Joachim wimbo unaitwa My Power umefanywa studio mbili…
Magazeti ya leo July 12 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Sikiliza alichokifanya Ommy Dimpoz kwenye video ya Victoria Kimani.
Kwenye utengenezwaji wa video ya wimbo wa Prokoto wa Victoria Kimani ambao ndani yake kawashirikisha mastar wa Tanzania Diamond Platnumz na Ommy Dimpoz umeonekana kama kukwama baada ya Ommy Dimpoz…
Usajili wa Luis Suarez FC Barcelona na rekodi mpya ya gharama za usajili
Baada ya uwepo wa tetesi za kuihama Liverpool kushika hatamu kwa takribani wiki 3 sasa, hatimaye leo hii Luis Suarez amejiunga rasmi na FC Barcelona akitokea Liverpool. Usajili wa Suarez…
Kutana na Hekaheka inayomhusu mama wa Diamond Platnumz.
Mama yake Diamond Platnumz leo July 11 alikua kwenye kipindi cha Leo Tena kutoka Clouds Fm na alipata nafasi ya kutoa Hekaheka yake ambayo inahusu maisha yake pamoja na Diamond…
Kaunzia July 11 hadi 17 hizi ndizo movie kwenye theaters
Baada ya movie ya Think Like a man 2 kufanya vizuri wiki hii inayoisha, movie mpya ya Down of the Planet of the Apes 2 inaanza kuonyeshwa. Kama uliipenda sehemu…
Na hii ni ya Benki kuu ya Tanzania tena baada ya kutangaza kuleta ile sarafu ya 500.
Baada ya kuripotiwa kuwepo kwa mabadiliko ya noti ya sh. 500 ambayo itaacha kutumika siku chache zijazo nchini Tanzania na mbadala wake kuwa sarafu ya shilingi 500, Watanzania mbalimbali wamekuwa…
Maneno ya Rais Kikwete kuhusu ‘Urais’ wa January Makamba @JMakamba
Ifuatayo ni kauli ya Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete aliyoitoa Bumbuli Tanga kuhusu Naibu waziri ambae pia ni mbunge wa Bumbuli January Makamba. Amenukuliwa akisema…
Magazeti ya leo Ijumaa July 11 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…