Picha 45 za mapokezi ya Diamond Platnumz Dar es salaam July 10.
Diamond Platnumz ameingia Dar es salaam usiku wa July 10 akitokea Marekani mashabiki wengi wakiongozwa na mama yake,dada yake pamoja na mpenzi wake Wema Sepetu ni miongoni mwa watu waliojitokeza…
Kingine kipya kilichosemwa kuhusu Uhusiano wa Young Killer na mpenzi wake.
Uhusiano wa kimapenzi kati ya Rapa Young Killer na mpenzi wake aliyetajwa kwa jina la Halimaty umesemwa kuwa na dosari baada ya Young killer kusemekana kumpiga msichana huyo. Inavyosemekana majirani…
Adhabu aliyopewa Justin Bieber kwa kurusha mayai kwenye nyumba ya jirani yake.
Nyota wa muziki wa Pop kutoka Canada Justin Bieber amepewa adhabu ya kuwekwa chini ya uangalizi kwa muda wa miaka miwili ikiwa ni pamoja na kufanya shughuli za kijamii kwa…
Walichofanywa maafisa waliouza tiketi haramu za Kombe la dunia Brazil.
Polisi nchini Brazil wanasema kuwa watu 12 akiwemo mkurugenzi wa kampuni iliyopewa dhamana ya kuuza tiketi za Mechi za Kombe la dunia wamesimamishwa kazi. Hatua ya kuwasimamisha kazi ni kutokana…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo July 10 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Kilichojiri kwenye mechi ya Uholanzi vs Argentina
Baada ya jana kushuhudia kalamu ya magoli kwenye mechi ya kwanza ya nusu fainali ya kombe la dunia kati ya Brazil na Ujerumani, leo hii imepigwa nisu fainali ya pili…
Sababu ya watengenezaji wa Filamu mpya ya Transformers kushtakiwa
Kampuni moja ya kitaliii kutoka nchini China imesema kuwa itawashtaki watengenezaji wa filamu mpya ya Transformers kwa kuvunja mkataba. Kampuni ya Chongqing Wulong Karst Tourism Co Ltd imesema katika taarifa…
Alichokisema Ray C kuhusu kauli aliyopewa na TID.
Siku za karibuni, Nyota wa muziki nchini Tanzania Ray C pamoja na TID waliingia kwenye headlines kutokana na kauli za kupishana katika mtandao wa Instagram. TID alionekana kuja juu kutokana…
Kuhusu ushiriki wa Adam Kuambiana kwenye video ya Mdogo Mdogo ya Diamond Platnumz.
Ni kitu ambacho hakuna mtu ambaye aliwahi kuhisi au kutegemea kama Marehemu Adam Kuambiana ambaye alikua muongozaji wa filamu nyingi za Kitanzania kumbe nae kashiriki kwenye video ya Mdogo Mdogo.…
Hii ndiyo ahadi anayodaiwa Roma na Mashabiki wa Germany.
Mechi kati ya Brazil na Germany ilibeba hisia za watu wengi sana na wengi wao walijaribu kuweka ahadi ambazo inawezekana ngumu kuwezekana,mmoja wapo ni msanii Roma Mkatoliki ambaye yeye alisema…