Jinsi simu ya mkononi inavyosaidia wagonjwa wa kisukari nchini Senegal.
Kwa mara ya kwanza wagonjwa wa kisukari nchini Senegal wameanza kupokea ujumbe wa simu ukiwataka kufunga kwa kipindi cha kabla, wakati na baada ya mwezi wa Ramadhan. Senegal imekuwa nchi…
Hii ndio idadi ya waliokufa baada ya mji wa Lamu Kenya kukumbwa na mashambulizi ya risasi.
Wizara ya mambo ya ndani Kenya imesema kuwa zaidi ya watu 29 wameuawa katika mashambulizi mawili tofauti katika makazi ya Pwani ya nchi hiyo karibu na mpaka wa Somalia. Watu…
Hiki ndicho kitu kikubwa atakachofanya Diamond siku ya birthday ya mama yake.
Mama yake Diamond amezaliwa tarehe 7/7 na siku hiyo Diamond amepanga kufanya kitu kikubwa akiwa anasherekea. Mwaka huu anafanya kitu ambacho hadi mashabiki zake watafurahia siku hiyo na hii ni…
Kurasa za mwanzo na mwisho Magazetini leo July 06 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Kilichojiri kwenye mechi ya Uholanzi vs Costa Rica – matokeo na wafungaji
Historia mpya imeandikwa kwenye mechi ya mwisho ya hatua ya nane bora iliyozikutanisha Uholanzi dhidi ya timu ya Costa Rica, ambayo kwa mara ya kwanza imefanikiwa kucheza hatua ya robo…
Fulltime ya Argentina vs Belgium hii hapa! Matokeo na wafungaji
Siku ya pili ya hatua ya nane bora ya michuano ya kombe la dunia imeanza kwa mchezo uliozikutanisha Argentina vs Belgium. Mchezo huo ulioisha hivi punde umemalizika ubao wa matokeo…
Mtoto aliyezaliwa na miguu mitatu anayetarajia kufanyiwa upasuaji.
Mtoto mdogo ambaye amezaliwa na miguu mitatu amesafirishwa kwenda nchini Marekani kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji kuondoa miguu miwili Ana Paula mwenye miezi 22 alikuwa ni pacha aliyeungana ambapo…
Unazikubali show za Davido? Cheki picha zake alivyofanya show ndani ya Rwanda.
Baada ya tuzo za BET Davido alielekea Rwanda ambapo alienda kufanya show kwenye jukwaa moja na wasanii wa nchini Rwanda. Show ilifanyika kwenye uwanja wa mpira na kuingiza watu zaidi…
Dr Jose Chameleone ametoa wimbo mpya unaitwa Walewale,usikilize hapa
Mkali huyu kutoka Uganda ambaye nyimbo zake Badilisha na Valuvalu bado zinapendwa, ametoa wimbo mpya unaitwa Walewale. Kama kawaida yake ameimba kwa lugha ya kiswahili akichangaya na lugha ya kiganda.…
Picha 8 za Jumba la kifahari Oscar Pistorius alilopanga kuishi na mpenzi wake kabla ya kumuua.
Hizi ni baadhi ya picha Jumba kubwa la kifahari la Oscar Pistorius lenye thamani ya Paundi 530,000 ambalo alipanga kuhamia na mpenzi wake Reeva Steenkamp kabla ya tukio la kumpiga…