Hii ndio sababu ya Katy Perry kushtakiwa na marapa wa nyimbo za Injili.
Nyota wa muziki kutoka nchini Marekani Katy Perry ameshtakiwa na marapa nyota wa nyimbo za Injili akiwemo mwanamuziki Flame ambaye amedai kuwa nyimbo ya Dark Horse ya Katy imeiba baadhi…
Mlipuko mwingine karibu na bunge la Somalia.
Mlipuko mkubwa umetokea na milio ya risasi imeripotiwa karibu Bunge la Somalia wakati wabunge wakiwa katika kikao chao. Kwa mujibu wa BBC, Ripoti za awali zinasema kuna watu kadhaa wamejeruhiwa…
Nigeria kufungiwa kwenye soka na FIFA kwa sababu hii
Baada ya kutolewa kwenye hatua ya 16 bora ya kombe la dunia mabingwa wa Afrika Nigeria wapo hatarini kukumbwa na balaa lingine. Mabingwa hao wa Afrika huenda wakapigwa marufuku ya…
Magazeti ya leo July 05 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
J Martins na Dj Arafat wamerudi tena na hii video mpya baada ya ‘touching body’ @Realjmartins
Kolabo yao ya kwanza 'touching body' ilifanikiwa kuyafikia mataifa mengi ya Afrika mpaka kwenye chart za Radio ambapo time hii J Martins na Dj Arafat wameunganisha tena nguvu pamoja kwenye…
Kilichojiri kwenye mechi za kwanza za robo fainali: Brazil vs Colombia – Ujeruman vs Ufaransa
Hatimaye hatua ya 8 bora ya michuano ya kombe la dunia imeanza leo kwa michezo miwili kati ya Brazil dhidi ya Colombia na ufaransa dhidi ya Ujerumani. Kwenye mchezo wa…
Full Time ya Brazil vs Colommbia na France vs Germany July 4 2014
Kombe la dunia lipo kwenye headlines zake kama kawaida ambapo Afrika hatuna chetu manake timu zetu zote zimeshatolewa huku nyingine zilizobaki zikiwa na kazi kubwa za kila mmoja kukamilisha ndoto…
Picha 22 za utengenezwaji wa video mpya ya @MwanaFA ft. G Nako – mfalme
Mfalme ni single ambayo ndani ya wiki nne za kuwa ndani ya chati ya CloudsFM Top20 imevunja rekodi yake kwa kufika mpaka kwenye nafasi ya 2 baada ya kuzipita nyingine…
Hii ni video mpya kutoka kwa T Pain – Love Suicide
Amewai kuja Tanzania kwa ajili ya show na hivi sasa ametoa video mpya inaitwa Love Suicede. Unaweza kuicheki hapa https://www.youtube.com/watch?v=GSCYStk2laE#t=51
Daraja lililobomoka na kuua wawili Brazil.
Daraja limebomoka na kuua watu wawili huku wengine zaidi ya 10 wakijeruhiwa katika mji ambako mechi za nusu fainali zikitarajia kuchezwa nchini Brazil. Tukio hilo limetokea katika mji wa Belo…