Umesikia kuhusu sarafu mpya Tanzania? noti ya 500 ndio basi tena
Baada ya kuonekana noti ya shilingi 500 ina na mzunguko mkubwa wa matumizi na inachakaa kwa haraka huku kiwango chake cha kuhimili mizunguko ni miezi sita, Benki kuu ya Tanzania…
Kuhusu Sheikh alielipuliwa bomu nyumbani kwake Arusha
Kutoka Arusha taarifa ambayo imetangazwa kupitia Leo tena ambayo imetolewa kama breaking news ni kuhusu Sheikh wa msikiti wa Qiblatan Sudi Ally Sudi (37) uliopo eneo la Kilombero jijini Arusha…
Mwimbaji Mya akanusha vikali kutoka kimapenzi na Rapa Jay Z.
Hatimaye mwimbaji wa miondoko ya R&B wa nchini Marekani, Mya, amejibu tuhuma nzito zilizokuwa zimeelekezwa juu yake kuwa amekuwa na mahusiano ya kimapenzi na Rapa Jay Z nyuma ya mgongo…
Ukweli juu ya kilichosikika kwenye kipindi cha XXL July 02.
Jumatano July 02 kupitia kipindi cha XXL zilisikika kelele za ugomvi hewani ambazo asilimia kubwa tuliamini kuwa ni za kweli hasa kutokana na baadhi yao kusikika kama wamekabwa huku wengine…
Wazungu noma! Wameweza kutafsiri lugha inayotumiwa na Sokwe.
Watafiti wanasema kuwa wameweza kutafsiri maana ya ishara za mawasiliano zinazotumiwa na Sokwe wanaoishi msituni Watafiti hao wanasema, Sokwe hao huwasiliana kwa kutumia ujumbe 19 na kwa ishara 66. Wanasayansi…
Hii ya Mugabe kuwafukuza wakulima wazungu Zimbabwe.
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, amewataka wakulima wazungu waliobaki katika nchi hiyo kuondoka na kuwaachia mashamba wazalendo wa nchi hiyo. Mugabe aliwaambia wafuasi wa Chama chake katika mkutano wa hadhara…
Kuhusu mtoto aliyetupwa mama yake amepatikana,sikiliza kupitia Hekaheka ya July 04.
Mwanzoni mwa wiki hii kupitia idara ya Hekaheka ilitoka taarifa juu ya mtoto ambaye alitelekezwa nje ya gheti na baadae ikasemekana kuwa mama wa mtoto huyo alimtupa sasa mama wa…
Baada ya Sugua gaga, hii hapa nyingine kutoka kwa Shaa.
Video yake iko kwenye hatua za mwisho kukamilika lakini kwa sasa kashakua tayari kukusikilizisha alichokiimba kwenye huu wimbo wake alioupa jina la Subira ni kutoka kwa Shaa kwa mahadhi yale…
Kuhusu mama aliyemtelekeza mtoto wake ndani ya karatasi.
Shirika la habari la BBC limeripoti kuwa, Mwanamke mmoja aliyemtelekeza mwanawe ndani ya karatasi ya plastiki katika bustani moja nchini Uingereza amenusurika na adhabu ya kifungo jela. Mtoto huyo mchanga…
Dakika 16 za uchambuzi wa Magazeti July 04.
Huu ni utaratibu wa millardayo.com unapokuwa umepitia vichwa mbalimbali vya habari tunakupa nafasi nyingine ya kusikiliza pia ulichokisoma huku kikichambuliwa zaidi,hivyo huwa nakurekodia yakisomwa Redioni. 88.0 Clouds Fm inasikika ukiwa…