Magazetini leo Ijumaa July 04 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Picha 5 za gari alilozawadiwa mwimbaji Linah.
Makampuni mbalimbali nchini Tanzania sasa hivi yameanza kuamka kwa nguvu kuwatumia vizuri mastaa wa bongo kwenye kutangaza biashara zao ikiwemo Fastjet, Airtel na Vodacom ambao walianza hii kitambo kidogo. Kwenye…
Timu ya Algeria imerudi nyumbani kutokea kombe la dunia, hapa kuna picha 5 za jinsi walivyopokelewa
Kwenye kombe la dunia linaloendelea nchini Brazil, Algeria kutoka Afrika wameingia kwenye headlines zenye rekodi za kudumu kutoka kwenye mashindano haya baada ya kuwa moja ya timu mbili za Africa…
Hii ni rekodi nyingine… Mwanasiasa alivyolia mbele ya Waandishi
Nakumbuka kwenye bunge la bajeti Tanzania lililoisha hivi karibuni kuna stori ziliongelewa za Mchina ambae alijinyonga Morogoro baada ya kugundua kwamba kazi ya ujenzi aliyoifanya haikuwa kwenye kiwango kinachotakiwa. Leo…
Kwa watu wangu mnaopenda kutazama picha za nyumba za kisasa.
Nyumba nzuri au mazingira yanayovutia popote pale kimekua kitu ambacho ni muhimu kwa kila mwanadamu, kila mmoja anapenda kuishi vizuri kuanzia kwenye kula mpaka anapolala. Huu ni mpango wa millardayo.com…
Mabibi na Mabwana! Snura anayofuraha kuwaalika kutazama hii video yake mpya
Staa wa 'majanga' Snura amerudi tena kwenye screen yako na hii video mpya ambayo imefanywa na AJ a.k.a Adam Juma wa Visual Lab, ambapo hii inakua single ya tatu kwa…
Kilichosemwa na Dudubaya kwa madai ya Kufukuzwa,kupitia You heard ya July 03.
Taarifa ya kuripotiwa polisi kwa Dudubaya imetoka muda mchache baada ya mwanamke wake kupokea vitisho kadhaa,Soudy Brown ameongea na Dudubaya baada ya madai haya kutoka,ingawa kwa ujumla ya mazungumzo Dudubaya…
Huu ni muendelezo wa Hekaheka iliyoanza July 02,hapa kazungumza Dudubaya Mwenyewe.
July 02 alisikika mwanamke ambaye alikua akiishi na Dudubaya ambaye alisema mengi juu ya uhusiano wake na Dudubaya mpaka kupelekea kutishia kumuua,taarifa ni kwamba mwanamke huyo kaenda polisi. Hekaheka ya…
Huyu hapa Mchezaji mwingine wa Yanga aliyehamia Azam Fc.
Taarifa ambayo imekua kama ya ghafla ni kuhusu Aliyekuwa mchezaji kiungo wa Yanga Athumani Iddi 'Chuji' kusemekana kijiunga na timu ya Azam Fc na asubuhi ya leo ameonekana akiwa mazoezini…
Kama ukiambiwa utoe asilimia utatoa ngapi kwa huyu Dogo?
Umri wake anaonekana bado mdogo lakini amejaribu kufanya kitu ambacho ukikitazama unaweza kujua nini alichokusudia kufanya,sijajua ni kutoka nchi gani huyu dogo nimekutana nayo facebook nikaona nikuonyeshe na wewe mtu…