Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni July 03.
Hapa nimekurekodia magazeti yakisomwa Redioni mtu wangu leo July 03 nakuletea kwa ajili ya kusikiliza kilichoandikwa kupitia kurasa mbalimbali za Magazeti na hii ni baada ya kupitia kurasa za mbele…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo July 03 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Hatimaye video ya Kerewa ya @ShettaTz imefika huku.
Moja ya malengo ya Shetta kwenda kufanya video nje ya Tanzania yameanza kutimia na kwa mara ya kwanza video ya Shetta imepata airtime kwenye kituo hiki. Video ya Shetta imetambulishwa…
Kuhusu kundi la wahalifu linalouza tiketi za kombe la dunia kinyume cha sheria Brazil.
Jeshi la polisi nchini Brazil limesema kuwa linawashikilia watu 11 ambao wametengeza kundi linalojihusisha na uuzaji wa tiketi za kombe la dunia kinyume cha sheria. Mtandao huo unadaiwa kuwa limejipatia…
Mwanamke aliyelazimika kunyoa kipara baada ya nywele zake bandia kunasa kwenye Super glue.
Mwanamke mmoja Alexis Stanton amelazimika kunyoa nywele zote kichwani baada ya nywele zake bandia kunasa kwenye gundi aina ya super glue. Mwanamke huyo alilazimika kubaki na kipara na majeraha kidogo…
Mwanaume aliyebakwa baada ya kupanda lifti ya mtu asiyemjua.
Mwanaume mmoja amebakwa katika barabara ya daraja lenye shughuli nyingi mjini Newcastle baada ya kukubali kupanda lifti ya mtu asiyemjua. Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka 24 aliingia kwenye gari…
Taarifa ya Kaimu Balozi wa Libya, Tanzania aliyejiua kwa kujipiga risasi.
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa nchini Tanzania leo imepokea taarifa kutoka ubalozi wa Libya nchini ikieleza kuwa aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya Bw. Ismail Nwairat, amefariki…
Dar es salaam Julai 02, 2014, Gari hili la Magereza lapigwa risasi likiwa na wafungwa ndani.
Taarifa za awali zinadai kuwa Basi lililokuwa limebeba wafungwa limeshambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana eneo la Mayfair Mikocheni jijini Dar es salaam. Basi hili lilikuwa likitokea mahakama ya Mwanzo…
Angalia magoli 10 bora ya kombe la dunia – Messi vs Van Persie nani katisha?
Michuano ya kombe la dunia ipo kwenye hatua ya robo fainali ambayo itaanza rasmi Ijumaa hii. Michuano hii ya mwaka huu imekuwa na magoli mengi na bora katika historia ya…
Jinsi Beyonce alivyobadilisha mistari ya wimbo wake jukwaani kufuatia matatizo ya ndoa yake.
Wanandoa Beyonce na Jay Z wamekuwa wakipambana na uvumi kuwa sasa ndoa yao iko juu ya mawe kutokana na matatizo makubwa yanayoendelea tangu kusambaa kwa video ikimuonyesha dada wa Beyonce…