Malalamiko ya Shilole kuhusu Dj wa Club anayetaka kumdhulumu Laptop yake.
Kutoka kwa Soudy Brown kupitia You heard ya leo Shilole amelalamika juu ya mtu anayedai kumuazima laptop yake lakini anaonekana ana dalili za kumdhulumu baada ya simu zake kuwa hapokei,…
Single mpya ya Madee umeipata?inaitwa Ni sheedah isikilize hapa.
Kwa mfumo wa muziki wa Madee huu anauita muziki wa Kwata ambao ni muunganiko wa Kwaito na Takeu ndio unautengeneza Kwata,single ya 3 kutoka kwake baada ya Pombe Yangu,Tema mate…
Kinachoendekea kuhusu kesi ya Pistorius, Inadaiwa yupo katika hatari ya “kujiua”.
Ripoti ya daktari wa magonjwa ya akili iliyowasilishwa katika kesi dhidi ya Mwanariadha wa Afrika kusini, Oscar Pistorius, inaashiria kuwa anaugua msongo wa kimawazo na yumo katika hatari ya kujitoa…
Alichokisema Mwanamke aliyekua akiishi na Dudubaya kabla ya kumfukuza.
Idara ya Hekaheka leo ina ishu kuhusu Mwanamke anayedaiwa kuwa alikua akiishi kinyumba na Dudu baya. Mwanamke huyo amezungumzia kilichotokea baada ya kitendo cha Dudubaya kufukuzwa na mwanamke huyo kwa…
Jinsi Facebook ilivyowafanyia utafiti wa kisaikolojia watumiaji bila kuwajulisha.
Mtandao wa kijamii wa Facebook umelaumiwa kwa kuwafanyia wateja wake utafiti wa kisaikolojia bila ya kuwajulisha. Shirika la habari la BBC limeripoti kuwa, nia ya utafiti huo ilikuwa kujua kama…
Kuhusu kukamatwa kwa watuhumiwa wa mauaji ya Sista aliyepigwa risasi Ubungo.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam inawashikilia watuhumiwa wawili wa ujambazi ambao wanahusishwa na mauaji ya Mtawa wa Kanisa Katoliki Sista Clezensia Kapuli. Mbali na watuhumiwa hao…
Zawadi kutoka kwa Barakah Da Prince – Sio Fine
Kutoka Mwanza anaitwa Barakah Da Prince Mwanzoni ulimsikia na wimbo wa Jichunge ambao video yake ilifanywa na Director Nisher kutoka Arusha,leo July 02 ameamua kuachia wimbo wake ambao kasema ni…
Taarifa kuhusu ndege iliyodondoka alfajiri ya July 02 Kenya.
Imeripotiwa kuwa wanne waliokua kwenye Ndege iliyokua ikitokea uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta Nairobi, Kenya kuelekea Mogadishu, Somalia wamepoteza maisha baada ya Ndege hiyo kuanguka katika eneo la Utawala…
Kuna dakika 18 hapa za kusikiliza kilichoandikwa kwenye magazeti July 02.
Mara baada ya kuwa umepitia kurasa mbalimbali za Magazeti naomba utumie nafasi hii pia kusikiliza yakichambuliwa na kusomwa kupitia kipindi cha Power Breakfast,hapa yanachambuliwa na kusomwa na PJ. 88.4 Clouds…
Full time ya USA vs Belgium – walichofanya Lukaku na De Bruyne
Mechi za hatua ya 16 zimemalizika rasmi usiku wa kuamkia leo kwa mchezo kati ya Marekani dhidi ya Belgium. Katika mchezo huo uliokuwa mgumu kwa pande zote, mpaka dakika zote…