Nicki Minaj asema siku moja atafunga ndoa na rapa huyu
Nicki Minaj amejibu swali hili kwa uhakika kabisa bila wasiwasi wowote na kuwa gumzo tena.Minaj akiwa anafanya interview na magazine ya I-D moja ya majibu yake yana make headline hivi…
Taarifa nyingine kuhusu yule mwanamke wa Sudan aliyefungwa jela kutokana na kuolewa na mume mkristo
Headlines za dunia pia zimegonga sana kwenye siku hizi za karibuni kuhusu mwanamke wa Sudan ambae amekua akisubiria hukumu ya kunyongwa kwa kosa la kuolewa na mume mkristo huku dini…
Mama mzazi wa mbunge Zitto Kabwe amefariki dunia.
Ni taarifa nilizopata asubuhi ya June 1 2014 kuhusu kifo cha mama mzazi wa mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe aitwae Bi Shida ambapo aliethibitisha kifo hicho ni Zitto Kabwe…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo June 01 2013
Ni utaratibu wa millardayo.com kukupatia stori kubwa za Magazeti ya Tanzania kila siku kabla ya saa mbili kamili asubuhi kutoka kwenye kurasa za kila gazeti kuanzia ya Udaku, Michezo na hardnews kurasa…
Hizi ni pichi 2 zinazopata comments na likes nyingi kwenye page ya @Shaa_tz
Kama unam-follow kwenye instagram @Shaa_tz basi utakuwa umesha like au kuona jinsi comment na like nyingi zinazopata picha hizi. Sarah Kaisi amepost picha mbili akiwa kwenye boti, kama vipi zicheki…
Kwa hiyo Wachina wamekuja na hii sio ?!!
Unaambiwa Wachina wameamua kuonyesha maajabu mengine kwa kufanya begi kuwa baiskeli tena ikiwa na uwezo wa kubeba mtu mmoja na ikiwa ni baiskeli yenye ufanyaji kazi kama wa pikipiki. Sanduku…
Haya ni mapokezi ya Mwili wa Director George Tyson Dar es salaam May 31.
Jioni ya Mei 31 mwili wa Director George Tyson umewasili kwenye hospitali ya Dokta kairuki ambao umehifadhiwa hapo wakati mipango mbalimbali ya mazishi ikipangwa. Steve Nyerere ambae ni Mwenyekiti wa…
Hivi ndivyo uzinduzi wa gambe jipya ulivyokua Mei 30.
Mei 30 ilikua ni uzinduzi wa gambe jipya mjini ambalo matangazo yake na mabalozi walianza kuonekana miezi michache iliyopita na ilikua mchuano uliokuwa unatakiwa kutuma video fupi kuelezea utakachofanya ukiwa…
Mambo 5 ambayo huyajui kuhusu George Tyson kutoka kwa @VanessaMdee,@JokateM,@hemedyPHD na @AyTanzania
Jana usiku habari zilizoshtua watu wengi ni kuhusu kifo cha director mashuhuri George Tyson. Hivi sasa kuna taarifa ambazo hazijawahi kutolewa na hawa wahusika kuhusu marehemu Tyson. Zipo tano hadi…
Magazeti ya leo May 31 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kukupatia stori kubwa za Magazeti ya Tanzania kila siku kabla ya saa mbili kamili asubuhi kutoka kwenye kurasa za kila gazeti kuanzia ya Udaku, Michezo na hardnews kurasa…