Breaking:Jengo la Bunge la somalia lashambuliwa mei 24.
Kutoka Somalia inasemekana kuna Milipuko mbalimbali na risasi zimesikika kutoka kwenye majengo ya bunge la Somalia yakishambuliwa mjini Mogadishu huku wabunge ikisemekana wapo ndani kwenye mkutano. Naendelea kuzifatilia kwa ukaribu…
Magazeti ya leo May 24 2014 na stori za Udaku, Michezo na Hardnews
Ni utaratibu wa millardayo.com kukupatia stori kubwa za Magazeti ya Tanzania kila siku kabla ya saa mbili kamili asubuhi kutoka kwenye kurasa za kila gazeti kuanzia ya Udaku, Michezo na hardnews kurasa…
Good news kuhusu ushindi wa timu ya soka ya Tanzania U-15
Tanzania inaendelea kufanya vizuri kwenye michezo ya Afrika kwa vijana (AYG) kwenye mpira wa miguu kwa vijana wenye umri chini ya miaka 15 baada ya leo (Mei 23 mwaka huu)…
Kuhusu Samuel Eto’o, Lampard, Cole na Mtanzania Nditi kuachwa na Chelsea
May 23 2014 inaingia kwenye historia hata kwa Watanzania wenyewe manake kuona mkali wetu ameachwa kwenye kikosi cha Chelsea msimu ujao sio habari njema. Kwa mujibu wa tovuti ya Premier…
Msikilize Mbwiga wa Mei 23
Mbwiga wa Mbwiguke kila Ijumaa anakuwa live studio,sasa hizi ni dakika 2 za kusikiliza mtekenyo huu wenye dakika 2 unaogusa taarifa za kimichezo,unajua kama Mbwiga aliwahi kucheza mpira wa miguu??sikiliza…
Inasemekana mpenzi wa Ney wa Mitego anataka kugawana vitu na Ney,sababu ipo hapa.
Miongoni mwa mabalozi wapya kutoka mtandao wa Airtel ni pamoja na Ney wa mitego,stori ambayo imemfikia Soudy Brown ni kwamba mpenzi wake ametaka kugawana vitu na Ney wa Mitego ambavyo…
Umesikia kuhusu vijana wanaojiita Panya Road? walichokifanya jana kipo hapa
Kwa mkazi yoyote wa Kigogo na Mburahati mpaka mabibo Dar es salaam ukimuuliza kuhusu vijana wanaojiita Panya Road na wanachokifanya kule atakupa majibu sahihi kuhusu kikundi hiki ambacho kinasemekena ni…
Dakika 18 za alichofanya Diamond Platnumz kwenye show ya London May 17 2014
Diamond alikwenda London Uingereza kushoot video ya kolabo yake mpya na Iyanya lakini pia akafanya show kwa wabongo na fans wake wengine kwenye mji huohuo. Enjoy kutazama alichokifanya kwenye hii…
Baada ya matukio ya Panya Road,Huu ndiyo ulinzi uliowekwa kwa sasa Kigogo.
Jioni ya jana ni siku nyingine ambayo vijana wanaoitwa Panya Road wameingia kwenye headline baada ya kuleta vurugu ikiwa si mara ya kwanza kuanzisha vurugu hizi,unaambiwa wakati vurugu hizo zikiendelea…
Angalia Interview ya Jose Mourinho akizungumzia ubingwa wa FA wa Arsenal
Miezi kadhaa iliyopita kocha wa Chelsea Jose Mourinho alimpa jina la "Special in Failure" mpinzani wake Arsene Wenger ambaye ni kocha wa klabu ya Arsenal. Moja ya sababu kuu ya…