Foosball imetisha mpaka robo fainali Dsm. @Heineken_TZ
Japo nilikua Dodoma kwa zaidi ya siku 20 lakini taarifa na pichaz za Watu wangu wa nguvu Dar es salaam jinsi walivyojitokeza kwenye hii game ambayo imekua ikisimamiwa na Heineken…
Ni zamu ya Dar es salaam kuipokea Kitchen party gala
Baada ya kuzunguka kwengine sasa ni zamu ya mkoa wa 88.5 Dar es salaam kuletewa ile kitchen party gala ambayo tayari imeonyesha mafanikio kwenye sehemu nyingine ilikopita.
Msikilize Mbwiga wa April 23.
Zitumie dakika hizi 2 kuusikiliza mtekenyo huu wa Mbwiga wa Mbwiguke April 23 ambao kawaida yake ni taarifa za kimichezo hasa za kipindi cha nyuma ambazo zinauhusu mchezo wa mpira…
Breaking: Bomu jingine tena limelipuka Kenya na kuua.
Matukio ya kigaidi yamekua yakichukua vichwa vya habari mara nyingi nchini Kenya hasa baada ya nchi hiyo kupeleka wanajeshi wake nchini Somalia kupambana na wanamgambo wa kikundi cha kigaidi cha…
Sikiliza Hekaheka ya leo April 23 hapa.
Kutoka Idara ya Hekaheka leo ina msichana ambaye anaomba msaada na hii ni baada ya kutekelezwa na baba wa mtoto wake ambaye kutokana na vitendo alivyokuwa akivifanya aliona atoke,amejitokeza kwa…
Shabiki wa Liverpool aliyefuga nywele miaka 11 akiapa kutokata mpaka Liverpool awe bingwa EPL
Shabiki wa mmoja wa klabu ya Liverpool huko nchini Kosovo ameweka kiapo kilichodumu kwa miaka 11 juu ya klabu ya Liverpool. Shabiki huyo aliyefahamika kwa jina la Ukë Krasniqi aliweka…
Sikiliza You heard ya leo inayohusu kukoswa koswa risasi msanii Linex.
Hii imetokea Mwanza ambayo inamhusu Linex kukoswa kupigwa risasi na mtu asiyemfahamu hii imetokea Mwanza baada ya kuwa ametoka hotelini kwenda kwa washkaji zake,ambapo katika harakati za mabishano ndipo jamaa…
Hiki ndio kiasi cha fedha alicholipwa David Moyes baada ya kutimuliwa
Siku moja baada ya kutimuliwa kutoka kwenye kibarua cha kuifundisha klabu ya Manchester United imefahamika kwamba kocha David Moyes atalipwa fidia kutokana na klabu hiyo kuvunja mkataba wa miaka sita…
Jinsi kifo cha mchezaji wa Disco kilivyosababisha vurugu Brazil.
Kutoka Brazil Kumezuka mapigano kati ya jeshi la polisi na wakazi wenye hasira usiku kucha katika moja ya viunga vya mji mkuu Rio de Janeiro ambapo Barabara zilifungwa mjini humo…
Kilichotokea kwenye hisa za Man United baada ya Moyes kufukuzwa
Wakati kocha Sir Alex Ferguson alipostaafu kama meneja wa Manchester United mwezi wa tano mwaka jana, hisa za klabu hiyo kwenye soko la hisa la New York thamani yake…