Cheki jinsi Tatoo hii ya Dini ilivyomsumbua mtalii huyu.
Unaambiwa Mtalii mmoja raia wa Uingereza amekataliwa kuingia nchini Sri Lanka baada ya kupatikana akiwa na Tattoo ya dini ya Budhaa kwenye mkono wake. Naomi Michelle Coleman alikamatwa na maafisa…
Magazeti ya leo April 23 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Sikiliza magazeti yakisomwa Redioni leo April 23.
Wakati taratibu za kukuwekea vichwa vya habari vya Magazeti mbalimbali zikiendelea naomba uzitumie hizi dakika 12 za kusikiliza kilichoandikwa kwenye kurasa hizo za Magazeti mbalimbali ya Tanzania,hapa yanachambuliwa na kusomwa…
Msikilize Mbwiga wa April 22.
Huu ni udambwi dambwi amabao una taarifa za kimichezo ndani yake ambayo hapa unaleta kwako na Mbwiga wa Mbwiguke,sikiliza jinsi mpira wa miguu zamani ulikuaje na timu zilikua zikifanyaje kwenye…
Picha 6 za H.baba akiwa kwenye kaburi la Cool James ‘Mtoto wa Dandu’
H.baba kutoka 88.1(Clouds Fm Mwanza)wikiendi iliyopita amefanya ziara ya kutembelea familia ya James Dandu ambayo iko Mwanza ambapo pia alifika mpaka lilipo kaburi lake Ngudu,Kwimba hapo H.baba alipalilia pamoja na…
Sikiliza You heard inayomhusu Chid Benz kumpiga msichana siku ya Pasaka.
Inasemekana April 20 Mwanadada Aisha Sued ambaye ni mkazi wa Ilala karibu na Kituo cha basi Msaada Garage amedai alishambuliwa na Chidi Benz na kuumizwa vibaya mdomoni hadi kushonwa nyuzi…
Tishio lingine walilotangaza Al shabab kwa nchi ya Kenya.
Tishio la kigaidi lina kodolea macho taifa la Kenya baada ya kundi la kigaidi lililo na makao yake makuu nchini Somalia kuachia video nyingine kwenye mtandao wa Al-Kataib wakitishia kutekeleza…
Baada ya kutangaza kumfukuza Moyes,huyu ndiye kocha mpya aliyepokea mikoba yake..
Kutokana na kutofanya vizuri chini ya uongozi wake David Moyes hatimaye leo April 22 Manchester United wamemtangaza Mchezaji wa siku nyingi wa Manchester United Ryan Giggs kukabidhiwa kwa muda mikoba…
Huyu ndiye Mchezaji wa Gabon aliyefariki akiwa uwanjani.
Hii ni taarifa ya kusikitisha ambayo hutokea mara chache kusikia mchezaji amefia wakati mechi ikichezwa au alipata matatizo uwanajan mpaka kupelekea umauti,Mchezaji kutoka klabu ya Ac Bongoville Sylvain Azougoui amefariki…
Ulisikia kuhusu nyumba inayorushiwa mawe na watu wasiojulikana?sikiliza Hekaheka ya leo hapa.
Dunia ina mambo mengi sana ambayo baadhi yake yanaweza kukuacha hoi na kukushangaza na kujiuliza yanawezekana vipi kutokea,hapa nakuunganisha na Geah habib wa Leo Tena kwa ajili ya kusikiliza Hekaheka…