Picha ya producer C9 baada ya kupata ajali na kuumia kichwani
Huyu ni producer maarufu na ametengeneza nyimbo kama Mama Ntilie ya A.T na nyimbo nyingi za marehemu Sharo milionea. Hivi sasa anawania tuzo ya KTMA kwenye kipengele cha mtayarishaji bora…
Breaking News: Manchester United yatangaza rasmi uamuzi wa kumfukuza Moyes – hiki ndicho walichopost Twitter
Kocha David Moyes ameondolewa rasmi kwenye majukumu yake ya ukocha katika klabu ya Manchester United. Taarifa rasmi ya klabu hiyo imetolewa kupitia mtandao wa Twitter unaweza kuicheki hapo chini......
Mchezaji wa Arsenal ang’oka meno ya mbele akiwa uwanjani.
Mchezaji wa Arsenal Mikel Arteta amejikuta kwenye maumivu ya kupoteza baadhi ya meno yake ya mbele kwenye mechi dhidi ya Hull City. Kwenye harakati za kumiliki mpira mchezaji Mikel Arteta…
Baada ya kushinda tuzo na kuja kwa negative comments za watu…hiki ndicho alichoandika Wema Sepetu.
Hata masaa 24 hayajapita tangu akabidhiwe tuzo yake ya sexiest girl tayari inaonekana ameshakutana na negative comments baada ya kushinda hiyo tuzo. Kwenye mashindano hayo alikuwa na warembo wenzake Jokate,Lulu,Nelly…
Hii ndio ndinga mpya aliyonunua Davido kwa zaidi ya Tsh milioni 200.
Amepata nomination 4 kwenye MTV Africa music awards 2014 na pia ana mashabiki wengi barani Africa na nje pia kitu ambacho kinamfanya asitulie kila siku anazunguka nchi tofauti akifanya show.…
Hivi ndivyo msanii Jaguar wa Kenya alivyosherekea sikukuu ya Pasaka.. @RealJaguarKenya
Mkali kutoka Kenya ambaye hivi sasa anamiliki headlines kutokana na wimbo wake wa 'Kioo', wakati watu wengine wakiungana na familia zao kusherekea sikukuu ya Pasaka yeye alitafuta njia ya pekee…
Zaidi ya watu 20 wamefariki papo hapo kwenye ajali ya basi la Luwule
Zaidi ya watu 20 wamefariki dunia papo hapo na wengine wengi kujeruhiwa baada ya
50 Cent tena, mpenzi wake mpya na mtoto wake aliekua hajulikani.
Daphne Joy mrembo anaeonekana kwenye picha mbili za mwanzo ni baby momma wa 50 Cent ambae mwaka jana 50 alidaiwa kumfanyia fujo nyumbani kwake Los Angeles Marekani. Baada ya ugomvi…
Picha 3 jinsi bondia mtanzania Francis Miyeyusho alivyochapwa round ya kwanza kwa KO
Pambani hili limefanyika kwenye ukumbi wa PTA ambapo bondia Francis Miyeyusho amepigwa na bondia kutoa Thailand Sukkasem Kietyongyuth kwenye raundi ya kwanza kwa knock out. Bondia huyo wa Thailand amempiga…
Taarifa za watoto wawili kufariki wakicheza kwenye dimbwi la maji
Wanafunzi wawili wamefariki dunia wakati wakiogelea kwenye dimbwi la maji ya mvua. Wanafunzi hao wa darasa la pili katika shule ya msingi ya Goba jijini Dar Es Salaam ambao wametajwa…