Matokeo ya Simba na Yanga,Azam na Jkt Ruvu je? yapo hapa.
Mechi ya Simba na Yanga iliyokua ikichezwa uwanja wa taifa jijini Dar es salaam imekamilika kwa sare ya 1-1 huu ni mchezo wa mwisho wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania…
barua ya Jeshi la Polisi iliyowazuia UKAWA kufanya mkutano Zanzibar.
Baada ya kugoma kuendelea kuhudhuria vikao vya bunge la katiba Dodoma, Umoja wa katiba ya Wananchi (UKAWA) unaoongozwa na Profesa Ibrahim Lipumba na Freeman Mbowe ulitangaza kufanya mkutano Zanzibar Jumamosi…
Hawa ndiyo wachezaji walioongezwa kwenye kikosi cha Taifa Stars.
Kocha Msaidizi wa Taifa Stars Salum Mayanga ametangaza wachezaji wengine 23 watakaoingia kambini kesho Aprili 20 kuungana na 16 waliotajwa awali kujiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi ambayo…
Picha ya utengenezaji wa Kipindi kipya cha Ray C.
Hii ni hatua nyingine kwa Ray C ambapo baada ya kutangaza project ya kuwasaidia watu wanaotumia madawa ya kulevya kwa sasa Ray C ameanza utengenezaji wa kipindi chake kipya cha…
Magazeti ya leo April 19 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
kama ulidhani wizi wa simu umezidi bongo tu, chukua hii ya Marekani.
Ni kawaida kupewa tahadhari kwamba bongo ukiacha simu yako ovyo kama kwenye kituo cha daladala, baa, kwenye daladala, hotelini, kwenye gari binafsi na sehemu nyingine yoyote inaweza kuibwa ndani ya…
Stori sio mtoto kuibiwa, stori ni huyu Askari Polisi Mwanamke kuiba mtoto
Jeshi la polisi Mbeya limemkamata Askari polisi mwanamke wa Dar es salaam kwa tuhuma za kumuiba mtoto mchanga wa siku ambae aliibwa toka April 6 2014 kwa kushirikiana na baba…
Mario Balotelli alipogusia na basketball
Kutana na Mario Balotelli mchezaji staa wa Italia mwenye vituko vya mara kwa mara anaeichezea AC Milan ambapo hii post ni kutoka kwenye page yake ya instagram akicheza Basketball na…
Mtanzania wa kwanza kuthibitishwa na facebook kuwa na uhalali wa account
Flaviana Matata amekua mwakilishi mzuri wa Tanzania kwenye nchi mbalimbali alizofanya kazi kama Ufaransa, Hispania na Marekani ambako anaishi sasa hivi New York. Flaviana amethibitishwa rasmi na facebook kwamba hiyo…
Jingine la Rais Mugabe kuhusu wanaopigia debe ushoga.
Kutana na sentensi chache zinazomuhusu mmoja kati ya Marais wenye umri mkubwa barani Afrika, Robert Mugabe wa Zimbabwe anaesifika kwa misimamo yake na sasa ametishia kuwafukuza kwenye nchi yake Wanadiplomasia…