Alichosema kocha wa Yanga kuhusu Okwi kucheza dhidi ya Simba
MPAKA jana Jumatatu jioni, straika wa Yanga, Emmanuel Okwi, alikuwa hana mawasiliano na Mwanasheria wake, Edgar Aggaba, juu ya mustakabali wa mkataba wake na klabu hiyo na kocha wake, Hans…
Haya ndio mamilioni ya dola aliyoamriwa 50 Cent kuilipa kampuni ya Sleek Audio
Wote tunafahamu kwamba rapper 50 cent anajua kutumia fursa za kuweza kujitengenezea fedha. Lakini safari hii biashara zake zimemletea matatizo kupitia kesi iliyodumu kwa miaka 3 kati yake dhidi ya…
Magazeti ya Leo April 15 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Ulikua mbali na Radio? yasikilize Magazeti ya April 15 yakisomwa.
Muda huu tunautumia kusikiliza kilichandikwa kwenye kurasa mbalimbali za Magazeti hapa yanasomwa na kuchambuliwa kupitia ki[pindi cha Power Breakfast na PJ. 88.0 Clouds Fm inasikika ukiwa Tabora. Bonyeza play kusikiliza.
Sentensi 8 za alichosema bungeni Mh. January Makamba @JMakamba na sauti yake
Bunge la katiba linaendelea hapa Dodoma ambapo wajumbe wake mbalimbali wameindeleza ishu ya uwepo wa Serikali tatu na wengine serikali mbili ambapo yafuatayo kwenye post hii ni aliyoyasema Mh. January…
Mch. Mtikila, Aden Rage, Zakia Megji na Mkosamali wakizungumza kwenye bunge la katiba.
Kuna uwezekano ni hupendi kupitwa na bunge la katiba linaloendelea sasa hivi Dodoma lakini kwa sababu ya majukumu uliyonayo unakuta tu linakupita.... millardayo.com inafanya kazi ya kuchukua kilichosemwa kwenye bunge…
Samwel Sitta amesemaje kama matangazo ya bunge live TBC1 yakikatika?
Jumamosi iliyopita matangazo ya Television ya taifa yalikatika wakati ikiwa live kwenye bunge la katiba ambapo Mh. Tundu Lissu alikua akiwasilisha maoni ya wachache ambako kulisababisha Mwenyekiti kuahirisha bunge hilo…
Mchekeshaji wa Kenya kuhusu matumizi ya sura kwenye matangazo, pia mrembo anapomkanyaga Mwanaume.
Ni kazi ya millardayo.com kuhakikisha popote ulipo hauboreki ndio maana inakuletea vitu mbalimbali kila saa kwenye post zake ambapo post hii ni maalum kwa ajili ya video mbili za mchekeshaji…
Waziri mambo ya ndani kuhusu bomu lililolipuka Arusha April 13, wahudumu pia
Mlipuko wa bomu kwenye mji wa Arusha kwenye bar iitwayo Arusha Night Park Mianzini April 13 2014 umesababisha watu 15 kujeruhiwa na kulazwa katika hospitali tatu tofauti mkoani humo. Waziri…
Maneno ya Rais Obama kwa ‘Young African Leaders’
Post hii ni maalum kwa ajili ya kusikiliza anachokizungumza Rais huyu wa 44 wa Marekani ambae anaamini mafanikio ya baadae ya Afrika yapo mikononi mwa vijana wenyewe kutoka bara hili.