Picha 5 na video ya Wabunge wakipigana ndani ya bunge Ukraine.
Ni kawaida ya Wabunge kupishana maneno wawapo bungeni na hii hutokea kwenye mabunge mbalimbali duniani ila ni mabunge machache ambayo yanarekodi ya kufikia mpaka kupigana, nakumbuka Somalia wapo kwenye hiyo…
Picha ya kwanza ya Ibra da hustler kwenye kituo cha kusaidia walioumizwa na dawa za kulevya.
Rehema Chalamila 'Ray C' baada ya mchakato wakutafuta logo kwa ajili ya foundation yake ya kupambana na kusaidia vijana wasiingie kwenye matumizi ya dawa za kulevya hatimaye ameanza kazi. Ray…
Stori nyingine kubwa ya Egypt ni hii adhabu kwa Wapenzi wa jinsia moja
Stori hii iliyoandikwa na BBC inasema >>> Mahakama moja nchini Misri imewahukumu watu wanne kifungo cha hadi miaka nane jela kwa kosa la vitendo vya kufanya mapenzi ya jinsia moja…
Hii ndege iliyotengenezwa na huyu Mkenya umeiona? anataka kuipaisha..
Nchini Kenya kuna Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Naivasha ambae katengeneza 'Ndege' yake ambayo toka ameanza kuiunda alisema lazima ipae huku akiwa katumia vifaa mbalimbali kutoka kwenye Bajaji kuiunda. Mzigo…
Idadi ya tuhuma za rushwa mwaka 2013 kwa Dodoma pekee.
Hizi takwimu baada ya kupatikana zimetangazwa na Waziri wa nchi ofisi ya Rais utawala bora George Mkuchika ambae anasema 'takwimu za rushwa Dodoma January mpakaDecember 2013 zinaonyesha kwamba jumla ya…
Alichosema Samwel Sitta kuhusu maongezi yake na Rais JK pia viongozi wa dini
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samwel Sitta amesema Rais Jakaya Kikwete anaonekana kuwa tayari kuongeza muda wa bunge hilo kuendelea kujadili vifungu vya rasimu ya pili ya katiba mpya…
Matokeo ya mechi za Chelsea na Real Madrid April 8 2014
millardayo.com itakua inahakikisha kila matokeo ya mechi za ndani ya bongo au nje ya bongo yanakufikia kwa wakati mtu wangu na pia karibu ujiunge na mimi kwenye twitter facebook na…
Cheki Epidode 1 ya Reality Show ya Victoria Kiman – The Rise of Queen Victoria.
Demo ya reality show hii ilianza wiki iliyopita ambapo inahusu maisha ya Victoria Kimani namna anavyofanya kazi zake,awapo nyumbani na hata muda anaokuwa studio kwa ajili ya kurekodi,Victoria amehaidi kila…
Kuhusu wale Wanajeshi wa Kenya kwenye kampuni za ulinzi Marekani.
Kesi dhidi ya Wanajeshi 27 wa zamani wa Kenya ambao walitoroka jeshini ili kujiunga na kampuni za ulinzi nchini Marekani imeanza katika kambi ya kijeshi ya Mtongwe Mombasa. Unaambiwa Wanajeshi…
Msikilize Mbwiga wa April 08
Hizi ni taarifa za kimichezo ambazo zinakukumbusha baadhi ya matokeo na mechi zilizopita kupitia mtekenyo wa Mbwiga wa Mbwiguke. Sikiliza Clouds Fm 87.9 ukiwa Arusha. Bonyeza play kusikiliza.