Magari 13 yateketea yote baada ya moto kuwaka kwenye yadi.
Magari 13 yametetekea yote na moto na mengine matatu kuungua sehemu kidogo baada ya moto kuwaka kwenye yadi ya Japan Auto Connection. Moto huo ambao bado chanzo chake hakijajulikana lakini…
Magazeti ya leo April 08 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Hizi ndizo picha mpya za Kim Kardashian zinazoangaliwa sana kwenye internet hivi sasa.
Kim Kardashian ziadi ya kuutumia muda wake wa mapumziko akiwa nchini Thailand pia alitumia muda huo kufanya photo shooting akiwa beach. Japokuwa picha kamili zilizokuwa zinapigwa bado hazijatoka lakini hizi…
Kama unapenda kazi za Mr Flavour basi hapa kuna video yake mpya – Black Is Beautiful
Mr Flavour aliwahi kufika Tanzania kwa ajili ya show na video yake iliyopita alifanya na mshindi wa big brother Dillish Mathew. Hivi sasa ametoa video mpya ya wimbo wake wa…
Birdman amemzawadia Justin Bieber hii Buggati.
Birdman bosi wa YMCMB amempa smile msanii mdogo mwenye umri wa miaka 20 kwa kumpa zawadi ya gari lenye thamani ya dola za kimarekani milioni 1.9 aina ya Bugatti Veyron…
Kutana na post mbili za mfanyabiashara Russell Simmons zinazomhusu @FlavianaMatata
Russell Simmons ni mfanyabiashara tajiri raia wa marekani pia ni mtu mwenye heshima kubwa kwenye muziki wa hiphop akiwa na urafiki mkubwa na msanii kama Jay Z. Russell Simmons amekuwa…
Pichaz za show ya Shilole New Maisha Club Morogoro.
New Maisha Club Morogoro April 06 kulikua na uzinduzi wa video ya Chuna Buzi ya Shilole ambayo ilikua fursa ya wananchi wa Morogoro kukusanyika pamoja na kuitazama hiyo video,show ilisindikizwa…
Hivi ndivyo Diamond alivyowa-sapraiz Mashabiki wake kwenye uzinduzi wa video ya Queen Darlin.
Ukubwa wa jina la Diamond ndiyo hufanya mahali popote Tanzania anapotokea au kuonekana kuwa na hali isiyo ya kawaida,Usiku wa kuamkia April 07 Club Bilicanas kulikua na uzinduzi wa video…
Hii ni post ya Lulu kwenye instagram kuhusu Kanumba
Leo imefika miaka miwili tangu marehemu Steven Kanumba afariki dunia. Watu wengi maarufu wametumia siku ya leo kumkumbuka the great. Hii ni post ya muigizaji Elizabeth Michael 'Lulu' kuhusu Steven…
Timu ya Watoto wa Mitaani yatwaa Ubingwa wa Dunia.
Timu ya Taifa ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania jana April 06 imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Dunia wa Watoto wa Mitaani baada kuifunga Burundi mabao 3-1 katika mchezo wa fainali…