Tangazo kutoka kwa Mr Blue kwenda kwa wasichana wote.
Mr Blue ambaye hivi sasa headline zake zinatokana na wimbo wa Pesa ambao hadi umempa nomination kwenye tuzo za kili mwaka huu. Mr Blue ametoa tangazo hili kupitia ukurasa wake…
Hatimaye Rich Mavoko atoa video ya Roho yangu.
Rich Mavoko alianza kutoa vipande vya video hii muda mrefu sana kwenye account yake ya instagram lakini baada ya muda wote huo hatimaye ameitoa video nzima. Story kubwa ya hii…
Enjoy kuangalia video mpya kutoka kwa @AyTanzania – Asante
A.Y kwa mara nyingine amewapa mashabiki wake zawadi ya video nzuri ya wimbo wa Asante aliomshirikisha Dela. Video hii imerekodiwa Kenya na unaweza kuwa kati ya watu wa kwanza kuigalia…
Na hii ndiyo official logo ya PKP kutoka kwa @ommydimpoz
Omari Nyembo ambaye jukwaani anaitwa Ommy Dimpoz, zaidi ya muziki pia ni mjasiriamali akitumia kampuni yake ya PKP ambayo huwa inaandaa show pamoja na kutoka mavazi yenye logo hiyo. Ommy…
Leo April 05 2014 Magazetini
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Msikilize Mbwiga wa April 04.
Huu ni mtekenyo wa Mbwiga wa Mbwiguke leo April 04 kama kawaida ya uwepo wa Mbwiga studio kila Ijumaa hapa unamsikiliza kupitia Sports Extra. Clouds Fm inapatikana 87.8 ukiwa Mbeya.…
Kama hukuwa unamfahamu,huyu ndiye Mkude Simba sasa.
Inawezekana ushakutana na vichekesho ambavyo vimesambaa kwenye mitandao mbalimbali hasa Whatsapp ambavyo kuna jamaa anajiita Mkude Simba,ushawahi kujiuliza ni nani yule Mkude Simba,millardayo.com imefanikiwa kumpata na kufanya nae Exclusive Interview.…
Kuhusu wachimba kokoto waliofukiwa na kifusi Dar mchana wa April 04.
Inasemekana watu watatu waliotambuliwa kwa majina ya Msagala,Jacob na Mhando ambao ni wakazi wa Bunju jijini Dar es Salaam wamefariki dunia mchana wa April 04 baada ya kufukiwa na kifusi…
Sikiliza You heard ya leo inayomhusu Roma Mkatoliki.
Wimbo wa KKK wa Roma Mkatoliki ni miongoni mwa nyimbo za Hip hop zinazoonekana zina maneno makali ambayo yamefunikwa,Soud Brown ana-amplify taarifa hizi. Sikiliza Clouds Fm kupitia 88.1 ukiwa Mwanza.…
Sikiliza Hekaheka ya leo April 04.
Kutoka idara ya Hekaheka hii ya leo inamhusu Mama wa Kambo aliyekua akimnyanyasa mtoto wa Mume wake,wamoengea majirani na mtoto mwenyewe kaongea pia na Geah Habib. Clouds Fm inasikika ukiwa…