Cheki Reality Show ya Victoria Kimani itakavyokua.
Dada wa Rapa Bamboo wa Kenya Victoria Kimani ameanzisha reality show yake ambayo itakua na baadhi ya show alizowahi kuzifanya kipindi cha nyuma,interviews za radio na wakati wa kurekodi studio…
Video mpya kutoka kwa Rick Ross – Rich is Gangsta
Kutoka kwenye album ya Mastermind, Rich Ross anaendelea kutoa music video za nyimbo kutoka kwenye album hiyo. Hivi sasa ametoa video mpya ya wimbo wa Rick is Gangsta. Enjoy kuangalia…
Hii ndiyo jumla ya abiria waliosafirishwa na Fastjet mpaka sasa.
Kampuni ya Ndege inayotoa huduma kwa bei rahisi ya Fast Jet mpaka sasa imefanikiwa kusafirisha jumla ya abiria 500,000 katika safari zake za ndani na nje ya nchi. Afisa uhusiano…
Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni leo April 04.
Kawaida ya millardayo.com ni kuhakikisha hupitwi na kitu chochote iwe ni usiku au mchana,kama ilitokea haukusikiliza Magazeti haya yakisomwa asubuhi ya April 04 nimekurekodia yote hapa yanasomwa na kuchambuliwa na…
Magazetini leo April 04 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Angalia hapa official video ya One campaign – Cocoa na Chocolate
Ile video waliyorekodi wasanii 19 kutoka bara la Africa kwenye kampeni ya kuhamasisha kilimo imetoka. Angalia jinsi wasanii wengi kutoka nchi za Africa walivyojumuika pamoja kutengeneza video hii wakiwemo A.Y…
Ratiba mpya ya movie kuanzia 4 April hadi 10 April
Movie ya Noah ambayo imekatazwa kuonyeshwa kwenye baadhi ya nchi, itaanza kuonekana kwenye theater za Tanzania kuanzia tarehe 4/4/2014. Angalia trailer yake hapa pamoja na ratiba ya movie nyingine.
Msikilize Mbwiga wa April 03.
Mtekenyo wa Mbwiga wa Mbwiguke leo umezungumzia mechi iliyokua inachezwa kati ya RTC ya Kigoma na Coastal Union ya Tanga,mechi ambayo ilichezwa uwanja wa Lake Tanganyika. Clouds Fm inapatikana kupitia…
Hiki ndicho kitakachofanyika kwenye Club za New Maisha Morogoro,Mbeya,Dar na Mtwara Weekend hii.
New Maisha Club ndiyo Club pekee Tanzania iliyofanikiwa kuwa na matawi mengi mikoani ukitoa Dar es salaam ambayo ndiko ilikoanza,kwa sasa New Maisha Club ipo Morogoro,Mtwara,Dodoma na Mbeya ambapo kuna…
Kuhusu Mwalimu aliyemchapa Mwanafunzi Kenya hadi kufariki dunia.
Hii ni taarifa kutoka Kenya ambapo inasemekana Wazazi katika kaunti ya Kirinyaga mkoa wa Kati nchini Kenya wameandamana kwa hasira baada ya mwalimu mmoja kumchapa mtoto mmoja wa shule ya…