Walichosema mashabiki wa Yanga baada ya kipigo – matokeo ya mechi zote za VPL wikiendi hii
Ligi kuu ya Vodacom iliendelea wikiendi hii kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja tofauti nchini. Mabingwa watetezi Yanga walikuwa katika dimba la Mkwakwani kukipiga na Mgambo, matokeo ya mchezo Yanga…
Sikiliza Magazeti ya leo March 31 yakisomwa Redioni.
Kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa millardayo.com inakupa nafasi ya kusikiliza Magazeti yakisomwa na kuchambuliwa redioni kawaida huwa ni baada ya kusoma vichwa vya habari vya magazeti mbalimbali ya Tanzania,Magazeti ya leo…
Kurasa za mwanzo na mwisho Magazetini leo March 31 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Pichaz za Show ya Mkubwa na wanawe iliyofanyika Maisha Club Dar March 30.
Huu ulikua ni usiku wa Mkubwa na wanawe ambao wasanii toka kundi la Mkubwa na wanawe walipata nafasi ya kuperfoam na kufurahi pamoja na mashabiki waliohudhuria show hii iliyofanyika New…
Behind the scene ya Diamond na Davido walivyokua studio kurekodi Number 1 remix
Umeshasikiliza audio na kuona video ya Number one remix, huu ni wakati wa kuona video ya jinsi wimbo huo ulivyokuwa unarekodiwa chini ya producer Tuddy Thomas. Kwenye hii video utaona…
Tip Top,Mkubwa na Wanawe na Tmk Wanaume Family wameunganisha nguvu kwenye usiku huu wa March 30.
Jumapili ya leo March 30 makundi matatu kutoka 255 yameamua kuunganisha nguvu zao kwa pamoja na kukupatia burudani moja ndani ya Maisha Club,kutakua na burudani toka kwa Tip Top ambayo…
Baada ya kugundua Mauno ndiyo yamemponza,hii ni kauli mpya ya Snura.
Baada ya kutolewa video yake ya Nimevurugwa kwenye tuzo za Ktma 2013/2014 Snura ame-amplify taarifa mpya hizi zinahusu kile ambacho kilionekana kusababisha video yake kufungiwa na kutolewa kwenye mashindao ya…
Jumapili ya leo march 30 2014 magazetini
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Matokeo ya mechi za Chelsea, Arsenal na Manchester United March 29 2014
Kama ulipitwa na hizi mechi nimekuletea matokeo yake pamoja na wafungaji angalau usipitwe na vyote mtu wangu..
Hii hapa video ya Amini November – December
Picha za behind the scene zilianza kusambaa siku chache zilizopita ambazo zilikua na uhalisia wa hii video itakavyokua,imefanywa na Raymond Kasoga Amini ali-amplify kuwa video hii nayo imefanyika nje kidogo…