Sikiliza Hekaheka ya leo March 28 hapa.
Hekaheka ya leo imekuja na majibu ya yule mtoto ambaye alichangiwa kwa ajili ya kurudi Msumbiji kimasomo baada ya kukwama nauli na hela ya ada,pia leo utamsikia rasmi Gea Habib…
Alichokisema Stara Thomas kuhusu kufanya Gospel na bongo Fleva kwa pamoja.
Ni zaidi ya mwaka mmoja tangu Stara Thomas atangaze kuachana na muziki wa bongo fleva na kuokoka na kuamua kufanya muziki wa dini,tayari kuna baadhi ya nyimbo za Bongo fleva …
Picha 6 za nyumba anayomiliki na kuishi mwigizaji mzee Small.
Kama umekua karibu na movie za kitanzania hasahasa za vichekesho najua movie za Mzee Small utakua unazijua sana, umri wake ni miaka 59 kwa sasa ambapo alisimama kuigiza toka May…
Dakika 22 za kusikiliza kilichoandikwa Magazetini leo March 28.
Utaratibu wa millardayo.com ni kuhakikisha hupitwi na kitu chochote iwe usiku au mchana pengine hukuwa na muda wa kusikiliza magazeti yakisomwa redioni labda ulikua unajiandaa kwenda kwenye pilika za siku…
Magazetini March 28 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Picha ya siku ya kwanza Diamond Platnumz anakutana na Wema Sepetu ipo hapa
Inaaminika katika mapenzi au uhusiano wa kimapenzi uliowahi kuandikwa sana kwenye mitandao na magazeti Tanzania, huu wa mwigizaji Wema Sepetu na Diamond Platnumz umevunja rekodi, mastaa ambao walifikia mpaka kuvalishana…
Kilichosemwa na serikali ya Znz kuhusu Wazanzibari wa bara kurudi, muungano wa mkataba na mengine
Kama ulisikia stori za kikundi flani au mtu flani kusikika akisema ameagizwa kufikisha taarifa kwamba hawautaki muungano... hii post ni mali yako. Balozi Seif Ali Idd ambae ni makamu wa…
Alieachiwa huru baada ya kukaa gerezani miaka 46 kisa na picha za kabla na baada ya kifungo viko hapa
Mahakama moja nchini Japan imemuachia huru mfungwa aitwae Iwao Hakamada aliekua akitumikia kifungo cha maisha gerezani kuanzia mwaka 1968 ambapo wanaomtetea wanasema ushahidi wa kumfunga ulitengenezwa. Mahakama imeunga mkono kwa…
Juhudi za Ommy Dimpoz zinavyoendelea.. @ommydimpoz
Ni zamu ya staa wa bongofleva anaetajwa kuwa wa pili kwa kupokea malipo makubwa kwenye show mbalimbali anazozifanya (milioni nane kwa show za ndani ya nchi). Siku kadhaa baada ya…
Sekunde chache za jinsi Rais Obama alivyowasili kwa Papa Francis.
Rais Barack Obama wa Marekani amekutana na Papa Francis wa kanisa katoliki Alhamis ya March 27 2014 katika mji wa Vatican ambako Papa anakaa, ambapo ameitumia nafasi hiyo kufanya mazungumzo…