Kutoka twitter @millardyo hizi ni Top10 news March 27 2014
Amplifaya ni show ambayo inasikika kupitia Clouds FM Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku ikihusika kutoa stori zote kumi kubwa za siku za siasa, muziki, michezo, movies, maisha na…
Hizi ndio nchi zinazoongoza kwa kunyonga watu duniani, vp China? makosa ya Korea Kaskazini sasa !!
Kuna ripoti mpya ya shirika la Amnesty International imetoka ambapo nchi za Iran na Iraq zimeongoza katika kutekeleza adhabu za kifo duniani ambapo mwaka jana peke yake asilimia 66 ya…
Bungeni leo jinsi Mh. Mwigulu Nchemba alipohimizwa kufuta kauli kwa aliowataja wanataka kuleta ushoga.
Kwenye bunge la katiba linaloendelea Dodoma (104.4 Clouds FM) mjadala mkubwa ulioibua mambo kadhaa ni kuhusu upigaji kura wa wazi au wa siri. Miongoni mwa waliowasha vipaza sauti vyao na…
Msikilize Mbwiga wa March 27.
Ni dakika chache tunazozitumia kusikiliza habari za kimichezo kumsikiliza Mbwiga wa Mbwiguke leo March 27 leo anazungumzia timu ya Maji Maji ya Songea. 88.4 Clouds Fm inasikika ukiwa Mtwara. Bonyeza…
Ripoti ya Tanzania kuhusu vyanzo vya magonjwa ya akili! ndoa, Malaria, bangi na pombe?
Inatokea baadhi ya mikoa kuonekana kama ina idadi kubwa ya wagonjwa wa akili kuliko mikoa mingine wapo wanaohusisha wagonjwa hao wa akili na imani za kishirikina pengine bila kujua chanzo…
Alivyoagwa aliyekua Mkuu wa Mkoa wa Mara Marehemu John Tupa.
Leo March 27 Wakazi wa Mkoa wa Mara wamejitokeza kutoa heshima zao za mwisho kwa aliyekua Mkuu wa Mkoa wa Mkoa huo John Tupa ambaye alifariki kifo cha ghafla akiwa…
Picha 5 za sehemu ya Kinondoni Dar baada ya mvua ya kuamkia March 27.
Usiku wa kuamkia March 27 ilinyesha mvua kubwa kwa baadhi ya maeneo ya Dar es salaam na kusababisha usumbufu kwa watu ambao wengine walishindwa kuingia kwenye nyumba zao ambapo millardayo.com…
Sikiliza kisa cha Wadada kumgombania jamaa mmoja kupitia Hekaheka ya leo.
Mitaani kuna stori nyingi sana ambazo ukikutana nazo zipo za kufurahisha na kuhudhunisha pia hasa kulingana na tukio lenyewe lina uhalisia gani,hii ya leo ni ya wadada wasiojijua kama wapo…
Kuhusu Shilole kukimbia na deni la wajasiriamali hawa.
Hit Maker wa wimbo mpya wa Chuna Buzi Shilole inasemekana kakimbia na deni la wajasiriamali waliomtengenezea mavazi ya kiafrika baada ya kutengenezewa hakulipa deni na simu zao akawa hapokei,Soud Brown…
Ulimis? hotuba ya Rais JK na ya rasimu ya katiba hazitojadiliwa tena bungeni.
Jumatano ya March 26 2014 kulikua kufanyike mjadala wa wajumbe wa bunge la katiba Dodoma kuijadili hotuba ya Rais JAKAYA KIKWETE aliyoitoa wakati wa kuzindua bunge maalum la katiba pamoja…