Hii ndio historia aliyoiandika Pep Guardiola baada ya Bayern Munich kutwaa ubingwa
Kocha Pep Guardiola jana usiku aliandika historia akiwa na klabu ya Bayern Munich baada ya kuiongoza klabu hiyo kutwaa ubingwa wa Bundesliga. Historia aliyoandika Guardiola ni kuiongoza FC Bayern München…
Sikiliza jinsi Dada huyu dawa za nywele zilivyomharibu.
Mitaani kama kawaida yake kunakua na vituko vingi sana ambavyo huambatana na matukio ambayo tunapaswa kujifunza kulingana na ukubwa wa tatizo,hii ni nyingine na inamhusu dada ambaye alipaka dawa za…
Baada ya kipigo cha Man U jana – Hizi ndio rekodi nyingi mbovu za timu hiyo chini ya Moyes
Manchester United jana iliendeleza uteja wake kwa wapinzani wao Manchester City baada ya kukubali kipigo cha mabao 3-0 katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Old Trafford, jana usiku. Matokeo ya…
Mkono wa NMB kwa wajasiriamali wa Dar es salaam.
Benki ya Nmb imetoa mafunzo kwa wajasiriamali mbalimbali wa Dar es saam ambapo semina hiyo imehudhuriwa na wanachama zaidi ya 400 wa Nmb Business Club kutoka wilaya za Kinondon,Ilala na…
Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni leo March 26.
Tumia hizi dakika 15 kwa ajili ya kusikiliza kilichoandikwa kwenye Magazeti mbalimbali ya leo na hapa yanasomwa na kuchambuliwa na Gerald Hando kutoka kwenye kipindi cha Power Breakfast. 87.9 Clouds…
Justin Bieber ajichora tatoo kubwa kwenye mikono yake.
Yule Justin Bieber ambaye ulikuwa unamjua wakati anatoa album ya My World na wimbo kama Baby, basi sio huyu wa sasa hivi tena. Kwenye list ya forbes ya over exposed…
Kutana na picha ya Jose Chameleone akihesabu pesa zake kwa mashine.
Jose Chameleone ni mmoja kati ya wanamuziki wa Afrika ambaye aliwahi kutajwa kuwa ana utajiri mkubwa sana. Kwenye hii picha Jose Chameleone anaonekana akitumia mashine ya kuhesabia pesa akizihesabu dola…
Magazetini leo Jumatano March 26 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Matokeo ya mechi za Manchester United na Arsenal March 25.
Ni mechi nyingine ambayo kwa uhakika wengi wamebaki na huzuni baada ya mategemeo kugoma kutokea kama walivyotarajia hasahasa kwa upande wa Manchester United.
Maneno ya Diamond baada ya BASATA kufuta nyimbo tuzo za KILI 2014
Baraza la sanaa la Taifa (BASATA) March 25 2014 wakati wa utangazaji wa wasanii wanaowania tuzo za KILI 2014 limesema limezifuta nyimbo tatu za wasanii wa bongofleva kwenye ushiriki wa…