Habari 10 za Amplifaya March 18 2014
Amplifaya ni show ambayo inasikika kupitia Clouds FM Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku ikihusika kutoa stori zote kumi kubwa za siku za siasa, muziki, michezo, movies, maisha na…
Msikilize Mbwiga leo March 18.
Huu ni udambwi wa Mbwiga wa Mbwiguke leo March 18,leo kaizungumzia timu ya Pamba Fc ya 88.1 Mwanza. Bonyeza play kusikiliza
List ya makocha na wachezaji wa soka wanaolipwa vizuri duniani. Messi vs Ronaldo nani juu?
Jarida linaloheshimika kwa kiasi katika ulimwengu wa soka duniani 'France Football' leo hii limechapisha listi ya wachezaji na makocha 20 wanaolipwa fedha nyingi ndani ya msimu mmoja. Mapato ya wanasoka…
Unaambiwa hii ndio kadi nyekundu iliyotolewa mapema zaidi Amerika ya kusini
Unaambiwa sekunde ya 24 tu baada ya mchezo kuanza refa wa kimexico Marco Rodríguez aliitumia kadi yake nyekundu kwa kumtoa mchezaji nje ya uwanja. Historia iliandikwa wiki iliyopita katika mchezo wa…
Hii ndio biashara mpya anayoifungua Shilole kwa sasa.
Hit maker wa Nakomaa na Jiji Shilole ame-amplify taarifa za kuhusu kufungua mgahawa wake ambao ameupa jina la wimbo wake mpya uitwao Chuna buzi cafe anatarajia kufungua mgahawa wake wa…
Tazama mkutano wa Drogba na waandishi wa habari kuelekea mechi ya leo usiku dhidi ya Chelsea
Kuelekea mchezo wa raundi ya pili wa hatua ya 16 bora ya kombe la klabu bingwa ya ulaya kati ya Chelsea vs Galatasary, nimekuletea video ya mkutano wa Didier Drogba…
Hii ndio timu mpya atakayoifundisha Villa-Boas baada ya kuondoka Tottenham
Kocha wa kireno aliyewahi kuvifundisha vilabu vya Porto, Chelsea, na Tottenham Andre Villas-Boas amethibtishwa kuwa kocha wa Zenit St Petersburg akimrithi kocha Luciano Spalletti. Kocha wa kiitaliano Spalletti alitimuliwa na klabu hiyo ya Russia wiki…
Ijue hukumu aliyopewa Kanye West baada ya kumshabulia paparazi
Mwaka 2013 kwenye airport ya LAX Kanye West alihusishwa na fujo ambapo alimshambulia paparazi mmoja aliyekuwa akijaribu kumpiga picha Kanye West. Fujo hizi zilinaswa kwenye camera mbalimbali za mapaparazi waliokua…
Umesikia kilichomkuta Belle Nine Mafinga?sikiliza hapa.
Kupitia You heard ya leo March 18 Soud Brown ana-amplify taarifa za kuwekwa mahabusu Belle Nine kisa kikiwa ni kuchukua pesa za show kisha kutotokea kwenye show hiyo ambayo ilikuwa…
Hili ndilo jibu la Haji Ramadhani kwenda kwa Ney wa Mitego.
Haji Ramadhani ni msanii aliyetajwa kwenye line za wimbo wa Salaam zao wa Ney wa Mitego kwenye wimbo ambao baadhi ya mashairi ya wimbo huo yanawataja yeye Haji Ramadhan na…