Kilichoandikwa twitter wakati Jaji Warioba akizungumza kwenye bunge la katiba.
Hii ni sehemu tu ya kilichoandikwa kwenye twitter na Watanzania mbalimbali wakiwemo wabunge Dr. Faustine mbunge wa Kigamboni, Zitto Kabwe wa Kigoma Kaskazini, Naibu waziri January Makamba ambae pia ni…
Sikiliza jinsi Mama wa kambo alivyokuwa akimtesa mtoto huyu,kupitia Hekaheka ya leo.
Baadhi ya mama wa kambo wamekua wakiwatendea vitendo visivyo sawa kwa watoto au mtoto anaemkuta tayari kazaliwa kwa mumewe,sasa hii imetokea Msumbiji baada ya mtoto kushindwa kuvumilia mateso ameamua kuja…
Video ya Russell Simmons akimzungumzia Flaviana Matata
Russell ni mwanzilishi wa lebo kubwa ya muziki wa hiphop duniani ya Def Jam, akiwa ni mfanyabiashara mweusi mwenye mafaniko kwenye biashara mbalimbali ikiwemo ile ya mavazi ya Phat Farm…
Amissi Tambwe na rekodi hii kwenye goli 19 alizofunga VPL
STRAIKA wa Simba raia wa Burundi, Amissi Tambwe ameweka rekodi nyingine ya pekee ya kufunga mabao 19 katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara kwa staili ya aina yake. Katika…
Ni kawaida kwa mkazi huyu wa Kisumu kukuta hili jeneza nje ya nyumba yake
Mke anasema hii sio mara ya kwanza kwa wao kukuta jeneza dogo likiwa na paka ndani yake ambapo wakati uliopita alichukua hilo jeneza na kwenda kuchoma kisha baada ya siku…
Hii ndio rekodi mpya aliyoiweka Cristiano Ronaldo kwenye La Liga
Cristiano Ronaldo amekuwa mchezaji wa kwanza kwenye Ligi Kuu Hispania kufikisha mabao 25 kwa misimu mitano mfululizo. Mshambuliaji huyo wa Real Madrid na Ureno amekuwa moto kwa kutikisa nyavu tangu…
Kapombe kurudi Simba kwa kiasi hiki cha pesa – Hans Pope ahusika
SIMBA ipo katika hatua za mwisho za kumrudisha beki wake wa zamani, Shomari Kapombe, baada ya klabu ya AS Cannes ya Ufaransa inayommiliki kwa sasa kuchoshwa na usumbufu wake. Katika…
Baada ya kiwango kushuka, kocha wa Simba amemwambia haya Singano Messi
Kocha mkuu wa Simba Mcroatia, Zdravko Logarusic amemchenchia kiungo wake mshambuliaji mwenye kasi Ramadhani Singano ‘Messi’ kutokana na kiwango chake kidogo anachokionyesha katika mechi za Ligi Kuu Bara zinazoendelea. Hali…
Alichojibu Mourinho baada ya kualikwa chakula cha usiku na Mancini
Jose Mourinho amekataa mwaliko wa kutafuta suluhu na mpinzani wake wa siku nyingi kocha Roberto Mancini kwa kukataa hadharani mualiko wa chakula cha usiku baada ya mechi ya Chelsea vs…
Video ya ‘November au December’ ya Amini ilikua ikitengenezwa hivi
Amini kutoka Tht ameanza kutengeneza video ya wimbo wake wa 'November au December' huku audio yake ikiwa iko kwenye vituo vya radio toka January 7 2014. Video yake inatengenezwa na…