Kuhusu hili kanisa jipya lililofunguliwa Kigoma linalokataza watu kwenda hospitali.
Licha ya serikali kulipiga marufuku dhehebu lililoibuka katika kijiji cha Rumashi wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma liitwalo Sabato matengenezo, mwanzilishi wa dhehebu hilo amejitokeza na kusisitiza kuendelea na imani hiyo.…
Taarifa ya Moyes kutoelewana na Giggs na wakurugenzi kutaka afukuzwe
Kocha David Moyes na kocha mchezaji wa klabu ya Manchester United Ryan Giggs wameripotiwa kutoelewana. Imeripotiwa kwamba gwiji huyo wa United aligoma kuhudhuria mkutano wa benchi la ufundi na alimwambia…
Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni leo March 18.
Kama kawaida ya millardayo.com ni kuhakikisha hupitwi na kitu chochote sasa kwa hapa nimekurekodia Magazeti wakati yanasomwa Redioni,98.6 Clouds Fm inasikika ukiwa Musoma. Bonyeza play kusikiliza.
Magazetini leo March 18 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Pichaz za jinsi ilivyokua kwenye usiku wa Meninah & Linah Club Bilicanas
Jumapili ya Jana March 16 ndani ya Club Billcanas Dar es salaam Meninah na Linah Sanga wa Tht waliunganisha Birthday zao kufanya kitu kikubwa kwa mashabiki wa muziki wao kwa…
Pichaz za Show ya Madee na Shilole Mtwara.
Hii ni show ambayo pia inaingia kwenye kumbukumbu kwa kuwa ilikuwa na watu wengi kiasi cha mpaka baadhi ya vipoza hewa A/C kushindwa kufanya kazi yake ipasavyo kwa niaba ya…
Kuhusu ile ndege ya Malaysia iliyopotea.
Ikiwa haijulikani ilipo kwa zaidi ya siku sita, habari nyingine kuhusu ndege hii iliyokua na abiria 239 zinaonyesha machahe mapya kwamba muda mfupi baada ya kupaa kuna mtu alizima kifaa…
Msikilize Mbwiga leo March 17.
Huu ni udambwi dambwi wa Mbwiga wa Mbwiguke leo March 17 kama kawaida anazungumzia mpira wa Miguu na leo ameizungumzia mechi iliyocheza simba na timu ya Nje. 88.1 Clouds Fm…
Habari 10 za Amplifaya March 17 2014
Amplifaya ni mkusanyiko wa stori 10 za siku ambazo hazina mipaka, iwe siasa michezo, movies, maisha, muziki au kingine chochote utakisikia ndani yake. Kwa matukio zaidi ya kila siku nje…
Ratiba ya Mkutano wa bunge maalum imetoka kuanzia leo Tar 17- 21 March.
Ofisi ya Katibu wa Bunge Maalum inawatangazia Wajumbe wa Bunge Maalum na umma kwa ujumla kuwa Mkutano wa Bunge Maalum utaendelea mjini Dodoma leo kwa ratiba ifuatayo: Tarehe 17/3/201 kuanzia…