Picha 11 za Rais Masikini kuliko wote duniani na mambo 9 yanayomuhusu.
Ni kawaida kukuta maisha wanayoishi Wanasiasa ni tofauti na wapiga kura wao lakini sio hivyo kwa Rais wa Uruguay ambae anaishi kwenye maeneo ya mashambani na anatoa sehemu kubwa ya…
Kuhusu Wema Sepetu kufanya fujo studio baada ya kuwakuta Diamond na Victoria Kimani
Gossip cop Soudy Brown wa U heard ya XXL Clouds FM alizipata stori kutoka kwa shuhuda kwamba jana March 13 2014 kulitokea ugomvi studio baada ya Ommy Dimpoz kupost picha…
Diamond Platnumz kashika namba moja Top 10 Afrika, 9 alizozishinda ziko hapa @Diamondplatnumz
Toka nimeanza kufatilia hii chati ya TRACE TV, kituo cha ufaransa ambacho kimeshika hata nchi za Afrika kwa kucheza muziki wenye viwango kutoka kila kona ya dunia, sijawahi kuona msanii…
Lil Wayne anasemaje kuhusu kustaafu muziki? atakaetaka kumuingiza studio tena?
Lil Wayne anasema amekusudia kustaafu muziki baada ya kuachia album yake ya mwisho ya The Carter V lakini kama kuna mtu atajitokeza na atake Wayne afanye album nyingine baada ya…
Nitakuepo hapa kesho, nakualika na wewe mtu wangu
Kama upo au utakuepo Dar Jumamosi hii ya March 15 yani kesho, ukiwa na nafasi unaweza ukapita hapa ukaenjoy pamoja na mimi hata kwa nusu saa tu mtu wangu, karibu…
Hii hapa kuhusu Gerard Pique kumkataza Shakira kufanya video na wanaume
Ulishawahi kujiuliza kwanini video ya Shakira na Rihanna haikuwa na model yoyote wa kiume? Inawezekana hili likawa moja ya jibu: Gerard Pique hataki mchumba na mama wa mtoto wake Shakira…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo March 14 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Msikilize Mbwiga leo March 13.
Hizi ni taarifa za kimichezo ambazo zinamhusisha Mbwiga wa Mbwiguke na leo kakumbushia timu zilizokua zinasumbua kipindi cha nyuma kwa Dar es salaam. 87.8 Clouds Fm inasikika ukiwa Mbeya. Bonyeza…
10 za Amplifaya March 13 2014
Amplifaya ni countdown show inayosikika J3 mpaka Ijumaa saa moja usiku on Clouds FM ikiwa inazihesabu habari kumi muhimu za siku ambazo ni za siasa, muziki, michezo, movies, maisha na…
Pingamizi lililowekwa na Mgombea wa CUF kwa Mgombea wa Chadema Ubunge Chalinze.
Hii ni ya leo March 13 2014 ambayo inamuhusu Mgombea ubunge kwa tiketi ya Cuf jimbo la Chalinze kwenda kwa mgombea mwenzake wa jimbo hilo hilo wa Chadema. Mgombea huyo…