Taarifa za Mtumbwi uliozama Mtwara March 13 ukiwa na kina mama wauza samaki..
Taarifa kutoka Mtwara ambazo zimethibitishwa na jeshi la Polisi ni kuhusu Mtumbwi ambao umezama wakati ukivuka kutoka kitongoji cha Ng'wale kwenda ng'ambo ya pili ambapo ndiyo sehemu waliyokuwa wanashukia abiria…
Weekend hii unaweza kuitumia kwa kuangalia hizi movie kwenye theater tofauti.
300 Rise of an Empire ni movie ambayo inategemewa kuangaliwa sana na watu wengi kuanzia kesho kwenye theaters za hapa Tanzania. Movie hii ambayo itaonyeshwa kwenye 3D imetoka kwa director…
Kwa wale wa Trey Songz, video yake mpya iko hapa
Amekua ni miongoni mwa wasanii ambao wakikaa kimya kidogo, fans wake wanakua na hamu kubwa ya kusikia kipya kutoka kwake. )
Picha za Ommy Dimpoz akiwa chini ya ulinzi wa polisi Uingereza.. making the video
Ommy Dimpoz amethibitisha kufanya video yake mpya nchini Uingereza chini ya director ambae amehusika kuzifanya video za mastaa kama Fuse ODG, Wizkid na Davido 'skelewu' Leo Dimpoz ameshea picha za…
Rihanna na Drake tena, hizi ni za jana usiku Manchester.
Kwa muda mrefu kumekuwa na tetesi za mastaa wa muziki Drake na Rihanna kwamba wamerudisha uhusiano wao wa kimapenzi. Ingawa wawili hao waliopachikwa jina la 'AubRih' (Kwa maana ya Aubrey…
Wamerekani wengine wanunua hisa Manchester United
Kampuni moja ya uwezekazaji ya kimarekani imefanikiwa kununua robo ya hisa zote za klabu ya Manchester United zilizowekwa sokoni katika soko la hisa la New York. Kampuni ya Baron Capital…
Inavyoendelea hali ya kiafya ya Michel Schumacher baada ya ajali mbaya
Bingwa wa zamani wa mashindano ya Fomula 1 Michael Schumacher, amekuwa akionyesha dalili nzuri baada ya madaktari kuanza kumtoa katika hali yake mahututi. Familia yake imesema kuwa bado ina matumaini…
Unataka kufahamu mji gani unaotumia Twitter zaidi Afrika Mashariki
Mawasiliano kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter barani Afrika mwishoni mwa mwaka 2013, yaliongezeka hasa kutokana na kifo cha hayati Nelson Mandela. Hii ni kulingana na ripoti yenye mada' …
Kwa nini Vanessa Mdee hatoonekana kwenye show mpya TV 1
Kuna taarifa zilianza kupatikana kupitia vyanzo mbalimbali vya habari kwamba msanii ambae pia ni mtangazaji wa 102.5 Choice FM Dar es salaam Vanessa Mdee ataonekana kwenye show mpya katika kituo…
Kama ulimis mechi za jana Barca vs Man City, PSG vs Leverkusen, unaweza kucheki hapa
FC Barcelona na PSG jana zimefanikiwa kuungana na Bayern Munich na Atletico Madrid katika kundi la timu ambazo zimefanikiwa kuingia katika hatua ya robo fainali ya michuano ya kombe la…