Hili gari ni mali ya Samuel Eto’o, mcheki mwenyewe.
Hili ni moja ya magari ambayo tumezoea kuyaona kwenye video za muziki za gharama kubwa lakini pia hata kwenye baadhi ya movie za Hollywood. Unaambiwa hili ni moja ya magari…
Breaking news ya Radio One kuhusu waliokamatwa kituo cha mabasi Ubungo.
Ni kazi ya millardayo.com kukupa info kila wakati na kila mpya zinapokuja kutoka sehemu mbalimbali ambapo unaweza kuwa mwanafamilia na kujiweka karibu zaidi na mimi ili uwe na uhakika wa…
Matokeo ya mechi za Arsenal na AC Milan March 11 2014
kama unapenda kila tukio likufikie basi unakaribishwa kujiunga kwenye familia ya MillardAyo kupitia facebook, instagram na twitter kwa jina la millardayo ..... ninawajibika kukupa kila kinachonifikia mtu wangu.
Msikilize Mbwiga leo March 11.
Udambwi dambwi wa Mbwiga wa Mbwiguke hua ni moja ya ratiba ya Sports Extra ambayo unapata kumsikiliza kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa mpate kumsikiliza kupitia 88.1 Clouds Fm Mwanza. Bonyeza play…
Stori 10 za Amplifaya March 11 2014
#Amplifaya March11 2014: #10 Eto'o alietimiza miaka 33 jana amesema umri kwake sio tatizo kabisa na angependa kuongeza mkataba wa kuichezea Chelsea. #Amplifaya March11 2014: #9 Polisi wa kimataifa wasema…
Kuhusu kesi ya Mramba na Yona,hiki ndicho kilichoamuliwa na Mahakama leo.
Leo March 11 Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewaruhusu kwenda kutibiwa nje ya nchi Mawaziri Waandamizi wa zamani ambao ni Basil Mramba na Daniel Yona wanaokabiliwa…
Picha 8 za ajali ya ndege ya abiria na jinsi ilivyomgonga huyu mtu angani.
Hili imetokea Florida Marekani ambapo mtu mmoja alikua anaruka akiwa na Parachuti lakini akakutana na ndege hii ndogo ambayo baada ya kumgonga walianguka chini wote huku ndege ikiangukia pua. Pamoja…
Ufahamu utaratibu mpya wa @cpwaa anaoutumia sasa hivi kwenye kugawana mapato na maproducer wake.
Moja kati ya sababu kubwa zinazosababisha kusitisha au kuvunja mikataba miongoni mwa wasanii na wasimamizi pamoja na watayarishaji wa muziki wa Tanzania huwa ni mapato ambayo ikitokea mmojawapo anapata hela…
Baada ya Rais Kenyatta kupunguza mshahara wake na Mawaziri, amehamia huku
Uamuzi wa Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na Naibu wake kuamua kupunguza mishahara yao kwa asilimia 20 na asilimia 10 kwa Mawaziri wake, ulipokelewa kwa mitazamo tofauti ya watu mbalimbali…
Umesikia kilichomkuta msanii M-Rap Billcanas?sikiliza hapa.
Huyu ni mmoja kati ya wasanii wanaowakilisha familia ya Bhits ambapo mwisho wa wiki iliyopita inasemekana ametokwa na machozi kwa kile kinachodaiwa kusitishiwa mkataba wake na Lebo yake ya Bhits…