Haya ndiyo mabadiliko mapya kwenye Vodacom Premier League.
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeifanyia marekebisho ratiba ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) ambapo sasa ligi hiyo itamalizika Aprili 19 mwaka huu badala ya Aprili 27 mwaka huu,Marekebisho…
Ajali iliyotokea asubuhi ya leo March 11.
Matukio ya ajali za barabarani bado yanazidi kuripotiwa na hii imetokea asubuhi ya leo ikihusisha basi la Hood lililokuwa likitokea Arusha kwenda Mbeya kupata ajali na kupinduka eneo la Same,mpaka…
Sikiliza Hekaheka inayomhusu muuguzi aliyenaswa akiiba.
Hii imetokea sehemu moja inaitwa Ndanda ambayo iko wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara na inamhusu Muuguzi wa Hospital ya Ndanda,huyu inasemekana ana tabia za wizi mpaka miongoni mwa wauguzi wenzake…
Huyu mrembo anaitwa Sofia, ndio ataonekana kwenye video mpya ya @OmmyDimpoz aliyofanya London
Ommy Dimpoz amerudi Tanzania March 10 2014 saa tano usiku ambapo AyoTV na millardayo.com ziliweza kumnasa baada ya kushuka. Amethibitisha ni kweli amefanya video yake mpya London ambapo aliehusika kama…
Magazetini leo March 11 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Msikilize Mbwiga leo March 10.
Kama ulimmis kumsikiliza Mbwiga wa Mbwiguke leo March 10 naomba kutumia nafasi hii kukuunganisha nae ili upate kumsikiliza,ni habari za kimichezo.96.0 Unaisikiliza Clouds Fm ukiwa Tanga. Bonyeza play kusikiliza.
Unaambiwa mpaka mwaka 2012 haya ndio magari matano makali alikua anamiliki Cristiano Ronaldo.
Staa wa soka Cristiano Ronaldo mwenye umri wa miaka 29 ametajwa kwenye list ya mastaa kumi wa soka wenye pesa nyingi ambapo yeye ndio kashika nafasi ya kwanza, akifata Messi…
Huu uharibifu uwanja wa taifa umeleta hasara ya milioni 15, soma kilichosemwa na serikali.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) leo kupitia afisa habari wao Wambura wametoa ya moyoni kuhusu uharibifu unaofanywa na shabiki wa timu mbalimbali >> 'tunalaani vikali fujo na uhabirifu…
Kuhusu Jay Z kugoma kuwa best man kwenye harusi ya Kanye West.
Kutoka kwenye mitandao tofauti ya Marekani kuna stori zimemake headline zinazowahusisha Jay Z na Kanye West ambao ni washkaji walioshirikiana kufanya album moja ya Watch the Throne ambayo ilitoka August…
Diamond anaendelea na ujenzi, kaweka hizi picha nyingine
Diamond ni miongoni mwa wasanii wa bongofleva ambao wapo kwenye ujenzi wa makazi yao huku wengine tayari wameshamaliza na kuhamia ambapo mmoja wao ni staa wa 'nani kamwaga pombe yangu'…