Msikilize Mbwiga leo March 05.
Huu ni udambwi dambwi wa Mbwiga Wa Mbwiguke ambao unakujia kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa kupitia Sports Extra ya Clouds Fm,sikiliza kupitia 100.5 Clouds Fm Nachingwea. Bonyeza play kusikiliza.
Hili jipya kuhusu uwanja utakaotumika kwenye mchezo kati ya Yanga vs Al Ahly
Katika hali ya kushangaza wenyeji timu ya Al Ahly mpaka sasa wameshindwa kuwadhibitishia viongozi wa Young Africans pamoja na Ubalozi wa Tanzania nchini Misri juu ya Uwanja utakaotumika kwa ajili…
Picha 15 na maelezo yake kuhusu Hospitali iliyositisha huduma kisa Mvua ya leo March 05.
Mvua zinaendelea kunyesha sehemu mbalimbali za nchi bado zinaonekana kusumbua kwa baadhi ya maeneo hasa yaliyo mabondeni na sehemu ambazo mitaro yake ya maji haisafirishi maji vizuri,hii ni mchana wa…
Hatimaye Shilole amekubali kuwa na uhusiano na Nuh Mziwanda.
Imesharipotiwa mara kadhaa kuhusu uhusiano wa Shilole na Nuh Mziwanda ingawa wamekuwa wakikataa kila wanapoulizwa kuhusu mahusiano yao,mwishoni mwa wiki iliyopita ukumbi wa DarLive kila kitu kilikuwa wazi na wote…
Alichosema Raisi wa Barca kuhusu mkataba mpya wa Messi
Miezi kadhaa baada ya Cristiano Ronaldo kupewa mkataba mnono zaidi kuliko mpinzani wake Lionel Messi, raisi wa klabu ya Barcelona Josep Maria Bartomeu amesema kwamba Lionel Messi atasaini mkataba mpya mnono na…
Baba wa mchezaji wa Denmark ampa amri mwanae aombe jezi ya Gerrard baada ya mchezo dhidi ya England leo
Kuna msemo usemao mashabiki wa mchezo wa soka wana mapenzi ya wazimu kwa wachezaji au timu wazipendazo. Msemo huu umepata mfano sahihi baada ya shabiki mkubwa wa Liverpool ambaye ni…
Hiki ndio kikosi cha Taifa Stars kitakachocheza dhidi ya Namibia leo
Timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' leo usiku wa saa 3 kwa saa za Afrika Mashariki inaingia uwanjani huko Windhoek kupambana na timu ya taifa ya Namibia katika mchezo…
Hii ndio timu Arsene Wenger anayoipa nafasi ya kutwaa Champions League, sio Bayern
Wakati zikiwa zimebaki siku chache kabla ya timu yake kusafiri kwenda Allianz Arena kucheza mchezo wa pili wa hatua ya 16 bora ya ligi ya mabingwa wa ulaya dhidi ya…
Maradona azungumzia ushindi wa uchezaji bora wa dunia wa Ronaldo mbele ya Messi
Gwiji wa soka wa Argentina Diego Maradona amesema kwamba alifurahishwa sana alipoona Cristiano Ronaldo akishinda tuzo ya uchezaji bora wa dunia, akiamini ushindi wa Ronaldo utampa Lionel Messi hali ya…
Nemanja Vidic athibitishwa kujiunga na klabu hii ya Italia
Klabu ya Inter Milan imethibitisha rasmi kwamba nahodha wa klabu ya Manchester United Nemanja Vidic atajiunga na timu hiyo msimu ujao. Kama ilivyokuwa ikiripotiwa siku kadhaa zilizopita kwamba Nemanja ataondoka…