Rooney anasema hizi ndio picha zake 5 kali tangu ahamie Manchester United
Kwa siku moja Wayne Rooney alipewa nafasi ya kupost picha kwenye ukurasa wa instagram wa Manchester united. Rooney aliitumia nafasi hiyo ku-post picha zake tano bora tangu aanze kucheza ndani…
Omotola Jalade atimiza miaka 36 na hizi ni picha za birthday yake.
Unaambiwa Omotola ni staa wa kwanza Africa kufikisha likes zaidi ya milioni moja kwenye ukurasa wake wa facebook. Muigizaji kutoka Nigeria ambaye aliwahi kufika Tanzania kwa ajili ya uzinduzi wa…
Hii ndiyo List ya wasanii waliokuwa TipTop,wanaofanya kazi tena na Babu Tale kwa sasa.
Tip Top Connection ni moja kati ya makundi yaliyopitia misuko suko ya wasanii wake kutoka wengi tena kwa kipindi kimoja,kama utavuta kumbukumbu vizuri mwishoni mwa mwaka 2009 haukuwa mwaka mzuri…
Haya ndiyo mashairi ya wimbo mpya wa Snura.
Ushaharibu ni jina la wimbo mpya wa Snura ambaye wiki kadhaa sasa kupitia mitandao ya kijamii amekua akipost picha za mastar na watu mbalimbali wakionyesha alama ya X kwenye mikono…
Matokeo ya Simba vs JKT na Azam FC vs Prisons
Ligi kuu ya Tanzania bara imeendelea leo kwa michezo kati ya Simba dhidi ya JKT na Azam FC vs Prisons. Michezo hiyo iliyoisha hivi punde matokeo ni kwamba Simba wamepigwa…
Huddah atangaza rasmi, huyu ndio mpenzi wake mpya.. watazame hapa wakiongea
Aliyekuwa mwakilishi wa Kenya katika jumba la Big Brother msimu uliopita, Huddah Monroe ambaye pia alikuwa mpenzi wa rapper Prezzo, ametangaza kuwa kwenye penzi jipya na msanii mwingine wa Kenya…
Video: Yaya Toure alivyoipa ushindi Manchester City dhidi ya Stoke
Manchester City Vs Stoke City Yaya Touré 70... by JustTV99
Video: Angalia mabao ya Rooney na Van Persie dhidi ya Crystal Palace
Robin va Persie na Wayne Rooney jana waliiongoza Manchester United kupata ushindi baada ya takribani mechi 3 bila ushindi. crystal palace vs manchester united 0-2 all... by EplHighlights
Video: Arsenal walivyoiua Sunderland 4-1
Olivier Giroud alirudi dimbani jana kuifungia klabu yake ya Arsenal mabao mawili katika mchezo wa ushindi wa mabao 4 - 1 dhidi ya Sunderland. Laurent Koscienly na Thomas Rosicky pia…
Video: Angalia Chelsea walivyoitafuna Everton na kuzidi kujiimarisha kileleni
Chelsea jana waliendelea kujiimarisha katika uongozi wa msimamo wa ligi kuu ya England baada ya kuifunga Everton kwa 1-0 katika mchezo uliocheza katika dimba la Stamford Bridge. Goli la Chelsea…