Takwimu za mechi ya leo kati ya Manchester City vs FC Barcelona
Kuelekea mchezo wa leo usiku baina ya mafahari wawili wa ulaya City vs Barcelona, millardayo.com inakuletea takwimu mbalimbali zinazohusiana na mchezo huu wa leo. Manchester City FC v FC Barcelona…
Unaambiwa hii ndio rekodi ya mabao anayoweza kuiweka Mrisho Ngassa Afrika
Baada ya kufanikiwa kupiga ‘hat-trick’ (mabao matatu) ya pili mfululizo katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Komorozine ya Comoro, mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa, amebakiza bao moja…
Wachezaji hawa washinda kesi ya madai ya 106m dhidi ya Yanga
WACHEZAJI nyota wa zamani wa Yanga, Stephen Marashi (kipa) na Mmalawi Wisdom Ndlovu (beki) wameibuka kidedea katika kesi ya madai dhidi ya klabu hiyo iliyosikilizwa na Mahakama ya Rufaa ya…
Man City vs Barca leo. Soma alichosema Mourinho kuhusu mechi hii
Kuelekea mchezo wa leo wa kukata na shoka wa ligi ya mabingwa wa ulaya baina ya Man City vs Barcelona, kocha wa timu ya Chelsea amesema kwamba Manchester City inakutana…
Walichoamua kufanya Shakhtar Donetsk kwa familia ya marehemu Maicon
Klabu ya Shakhtar Donetsk ya Ukraine, imetangaza rasmi kwamba itaendelea kulipa mshahara wa mchezaji mbrazili Maicon ambaye alipata ajali na kufariki majuma mawili yaliyopita. Shakthar wamesema fedha hizo za mshahara…
Sikiliza Magazeti yakisomwa redioni leo February 18.
Unapomaliza kusoma kurasa za mwanzo na mwisho kwenye magazeti ya leo,millardayo.com inakupa nafasi ya kusikiliza namna yanavyochambuliwa redioni kupitia kipindi cha Power Breakfast kisehemu cha Kuperuzi na Kudadisi. Sikiliza kupitia…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo February 18 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Msikilize Mbwiga leo February 17.
Udambwi dambwi wa Mbwiga wa Mbwiguke ambao hua unakujia kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa kupitia Sports Extra,leo Mbwiga kaizungumzia timu ya Simba kipindi cha nyuma ilivyokuwa ambayo matokeo ya mchezo huo…
Picha za Diamond na Ay wakiwa na D’banj Afrika Kusini
Mwana FA Ay na Diamond Platnumz wanaiwakilisha Tanzania kwenye project ambayo inahusisha kwa pamoja Wasanii mbalimbali kutoka Afrika. Info za uhakika zaidi utazipata soon hapa millardayo.com
Picha 19 za show ya Ommy Dimpoz Valentine’s Day U.K
Hizi ni baadhi ya picha zikionyesha jinsi kilivyohappen huko Uingereza kwenye show ya mkali toka Tanzania Ommy Dimpoz alipokwenda kufanya show valentine ya mwaka 2014 ambayo host wake alikuta Mtangazaji…