Baada ya mechi ya Yanga na Mbeya City,hiki ndicho kilichomtokea mmoja kati ya shabiki wa timu hizo.
Unaambiwa shabiki mmoja anashikiliwa na Jeshi la Polisi akidaiwa kukutwa na tiketi bandia kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Mbeya City iliyochezwa Februari 2…
Davido kapita alikopita Ommy Dimpoz
December 2013 millardayo.com ilikua na Exclusive ya mwanabongofleva Ommy Dimpoz kufanya kolabo na Oskido ambae ni mkongwe wa muziki Afrika kusini ambapo kweli zilifanyika kolabo mbili na baadae Oskido akamuahidi…
Rekodi nyingine ya Azam FC
REKODI tatu za klabu na ligi zilivunjwa jana jioniambapoAzam FC ilivunja rekodi yake ya ushindi mnono baada ya kufungamagoli manne katika mechi moja, idadi hiyo ya magoli ikiwa ni kubwa zaidi msimu huu. Azam FC ikajiongezea rekodi ya pili ya kushinda mechi muhimu tena ikishinda kwa idadi kubwa ya magoli dhidi yatimu ngumu ya Kagera Sugar. Rekodi ya klbu ya Azam FC tangia kuanzishwa kwake inaonesha kuwa haijawahi kuwana uwezo wa kushinda mechi inapotakiwa kushinda kwa udi na uvumba ili ikae kileleni. Mara ya mwisho ilikuwa ni…
Kama taarifa za kifo cha Angela Okorie zilikufikia, inabidi usome hii.
Siku hizi usambaaji wa habari duniani umekua mkubwa kiasi kwamba unaweza kuleta madhara au mabadiliko ndani ya kipindi kifupi sana, mfano ni hii ishu ya kifo cha mwigizaji Mnigeria Angela…
Labda uliyaona haya kwa sana na ukataka majibu.
Ni mabango ya aina yake ambayo yamesambazwa kwenye sehemu mbalimbali za Dar es salaam ( 88.5 Clouds FM) ambapo mwanzoni hayakuweka wazi ni nini kinahusu hivyo ilikua kama teaser tu.…
Unadhani Manchester United itafuzu kucheza Champions League msimu ujao, Smalling atoa ya moyoni.
Beki wa mabingwa watetezi wa ligi kuu ya England Chris Smalling ameelezea hisia zake juu ya kiwango cha timu yao hivi sasa, akitoa ishara kwamba kikosi cha David Moyes kinahitaji…
Baada ya kumsajili mchezaji mgonjwa, hii ndio kauli aliyoitoa Arsene Wenger.
. Kocha wa Arsenal mfaransa Arsene Wenger amekiri kwamba angeweza kuchagua kutokumsaini Kim Kallstrom kama angekuwa na muda zaidi wa kufikiria kuhusu dili hilo. Kallstrom, 31, alijiunga na Arsenal…
TV series ya 24 si inarudi… tazama kipisi chake hapa
Hapo juu ni moja ya sets wakati wa kushoot msimu mpya wa 24 ambayo ni TV series kwenye mtaa wa Cobb huko London UK ambapo Kiefer Sutherland a.k.a Jack Bauer…
Msaada uliotolewa na NMB kwa waathirika wa upepo mkali.
Meneja wa Tawi la NMB Mkwawa,Sumka Mbuba pamoja na Afisa Mikopo Grace Ndosa wakishusha vyakula vyenye thamani ya shilingi milioni tano kutoka kwenye gari ili kukabidhi kwa waathilika wa upepo…
Sikiliza magazeti yakisomwa Redioni leo Feb 03.
Hizi ni dakika 15 za kusikiliza kilichoandikwa ndani ya kurasa mbalimbali za magazeti ya leo February 03 kupitia Power Breakfast pia utapata nafasi ya kusikiliza Lugha 10 zinazotumika zaidi Duniani…