Bob Junior atolea maelezo juu ya picha iliyosambaa kwenye Social Network kupitia You heard ya leo.
Soud Brown leo ame-amplify taarifa zinazomhusu Bob Junior kutokana na picha iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii ifahamu picha hiyo na alichokizungumza Bob Junior kwa kusikiliza kupitia 87.8 Clouds Fm Mbeya.…
Jinsi alivyopokelewa Waziri wa Mambo ya Ndani kwenye siku yake ya kwanza ofisini
Wizara ya Mambo ya Ndani rasmi imempokea Mheshimiwa Waziri Mathias Chikawe kama Waziri wa Mambo ya ndani ambapo baada ya kukamilika kwa utambulisho alipata nafasi ya kuzungumza na kuyasema yafuatayo…
Huyu ndio Mahabusu wa Mwanza alieamua kujipaka choo namna hii ili aweze kutoroka leo.
Mwandishi Albert G Sengo wa http://gsengo.blogspot.com ameandika >>> Mahabusu mmoja aliyekuwa mahabusu ya mahakama ya wilaya ya Nyamagana na Mahakama ya Mwanzo iliyopo eneo la jirani na Mamlaka ya maji…
Baada ya Barnaba, Young D aonyesha nyumba aliyonunua huko Kimara Suka.
Wanamuziki wa kizazi kipya wanaendelea kufanya mambo mazuri kutokana na kipato wanachopata kwenye muziki. Msanii David Geez maarufu kama Young D ame-share picha za nyumba aliyonunua huko Kimara Suka. David…
Picha mpya za Rihanna zinazo-make headline kwenye internet hivi sasa
Rihanna ame-share picha zake akiwa kwenye mapumziko huko Brazil ambazo zinasambaa sana hivi sasa kwenye mtandao. Rihanna akiwa Brazil ametumia muda huo pia kupiga picha kwa ajili ya cover ya…
Ya huyu Mwanamke wa Russia kukalia hiki kiti chenye umbo la Mwanamke wa Kiafrika umeiona?
Russian Socialite ambae ni muhariri wa jarida la Garage magazine, Dasha Zhukova akiwa pia ni patner wa mmiliki wa club ya Chelsea Roman Abramovich, ameingia kwenye maporomoko ya matusi na…
Ulimis kusikiliza Magazeti yakisomwa asubuhi?sikiliza hapa.
Baada ya kusoma kurasa za magazeti tumia dakika hizi 13 kusikiliza kilichoandikwa kwenye kurasa za magazeti ya leo ambayo unapata nafasi ya kusikiliza yakichambuliwa na PJ kwenye Power Breakfast ya…
Ajali nyingine yatokea asubuhi hii Mtwara.
Taarifa iliyotufikia hivi punde ni kuhusu ajali ambayo imetokea asubuhi hii ya leo majira ya sa 12 huko Mtwara ambayo imehusisha wanafunzi wa Shule ya Secondary ya Mustapha Sabodo ambao…
Unataka kuwaona wanaotuhumiwa kushambulia Westgate? tazama walipokwenda eneo la tukio chini ya ulinzi
Ripota wangu wa nguvu Julius Chemitei kutoka Nairobi anaripoti kwamba Hakimu na pande husika dhidi ya washukiwa wa shambulio la Westgate wametembelea eneo la tukio kutekeleza amri iliyotolewa na hakimu…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo January 22 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…