DAWASA shirikianeni na Viongozi wa Serikali za Mitaa kuimarisha udhibiti wa upotevu wa maji
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso amewahimiza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kushirikiana na Viongozi wa Serikali za Mitaa katika Manispaa zote za Jiji…
Zaidi ya shilingi Bilioni 200 zinahitajika ili kuzalisha vitabu vya kiada
Zaidi ya shilingi bilioni 200 zinahitajika ili kuzalisha vitabu vya kiada kwa lengo la kufanikisha uwiano wa kitabu kimoja kwa kila mwanafunzi, kuanzia elimu ya maandalizi hadi sekondari. Kutokana na…
Dkt. Nchimbi: CCM haitavumilia wanaokiuka kanuni
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ameonya vikali wanachama wanaotafuta uteuzi wa udiwani, uwakilishi na ubunge kwa njia zisizo halali, akisisitiza kuwa chama hakitasita…
Wanaume 15 wa Nigeria wadaiwa kuwatapeli kimapenzi Wajapani
Idara ya Taifa ya Polisi nchini Japani inasema imewatambua raia 11 wa Nigeria ambao wanashukiwa kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa raia wa Japani kwa njia ya kimapenzi…
Tangazo la muda wa kusimamishwa kwa Bellingham
Huku mjadala wa kitaifa nchini Uhispania ukipamba moto juu ya maneno yasiyo yaheshima na kile ambacho Bellingham alisema, Muingereza huyo amesimamishwa kwa mechi mbili kama ilivyoripotiwa na vyombo vingi vya…
Mwanaume mmoja afungwa miaka 10 kwa kufanya shambulizi kwa Waziri Mkuu wa Japan
Mahakama moja katika mkoa wa Wakayama uliopo magharibi mwa Japani imemhukumu kifungo cha miaka 10 jela mwanaume mmoja ambaye alirusha kilipuzi kilichotengenezwa kwa mikono karibu na Waziri Mkuu wa wakati…
Kamati ya PIC yapongeza uwekezaji unaofanywa na kiwanda cha uzalishaji bidhaa za ngozi
Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na mitaji ya Umma (PIC) imepongeza serikali ya Awamu ya sita chini Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uwekezaji…
Nchimbi akemea wana CCM ambao wameanza kufanya kampeni chafu
KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amewaonya wana CCM ambao wameanza kufanya kampeni chafu za kuwachafua wabunge walioko madarakani katika maeneo mbalimbali nchini. Dk. Nchimbi,…
Serikali kutumia mfumo wa ushirikiano na sekta binafsi (PPP) katika mradi wa Mabasi yaendayo haraka
SERIKALI imesema itatumia mfumo wa ushirikiano na sekta binafsi (PPP) katika Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (BRT) na mwezi ujao watoa huduma watatu wataleta mabasi yao ili…
Miaka minne ya rais samia imekuwa ya neema jijini Arusha : Gambo
Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mhe. Mrisho Gambo, Leo Jumatano Februari 19, 2025 wakati akizungumza na na Wazee wa Wilaya ya Arusha amehimiza wananchi wa Mkoa wa Arusha kumchagua…