Mhe. Dkt. Tulia Ackson, aongoza kikao cha kuratibu Mkutano wa 6 wa Maspika wa Mabunge Duniani
Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amewasili Ofisini kwake Geneva nchini Uswisi leo tarehe 15…
Bil 97.178 kutumika ujenzi barabara ya Ifakara-Mbingu
Imeelezwa kuwa mradi wa ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Ifakara hadi Mbingu yenye urefu wa kilomita 62.5 utatumia Bilioni 97.178. Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS)…
Kuwagaiwia chai, mikate ya siagi watumishi kumepunguza matukio ya watumishi kuzura wakati wa kazi
Mkuu wa Mkoa wa kusini Unguja Rc Ayoub Mohammed Mahamoud amesema baada ya ofisi yake ya mkoa kuwagaiwia chai na mikate ya siagi watumishi wake kumepungua matukio ya watumishi kuzura…
Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 16, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania May 16, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 16, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam May 16, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.
Mshindi Kitaa Cup 2024 kupata zawadi nono, Faru Dume, Kawe United FC, Kauzu zatamba
Kampuni ya michezo yakubashiri ya Parimatch imezindua michuano maalum ijulikanayo kwa jina la Parimatch Kitaa Cup 2024 yenye lengo la kuinua na kundeleza vipaji katika mpira wa miguu. Mashindano haya…
Dkt.Biteko ateta na balozi wa Marekani nchini
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Marekani hapa nchini Dkt. Michael Battle Sr. kuhusu masuala mbalimbali ya maendeleo ikiwamo…
Wananchi watakiwa kulipa kodi ya ardhi kwa maendelo ya nchi
Wizara ya Aridhi nyumba maendeleo ya makazi imetoa siku 30 kwa wamiliki wa aridhi kulipa kodi ya aridhi ndani ya siku husika na watakao kaidi agizo hilo hatua kali…
Usafiri wa anga ni kichocheo cha ukuaji uchumi-DK.Mwinyi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema sekta ya utalii ina mchango mkubwa katika maendeleo ya uchumi wa nchi kupitia usafiri wa anga ambao…
Taasisi za serikali zatakiwa kuanzisha hatifungani
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa wito kwa Taasisi za Serikali kutumia njia mbalimbali bunifu ikiwa ni pamoja na kuanzisha hatifungani ya kupata fedha ili ziweze kugharamia miradi ya maendeleo…