TASAC imeendelea kutoa leseni na vyeti vya usajili kwa watoa huduma waliokidhi vigezo
Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.) amesema Serikali kupitia Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) imeendelea kutoa huduma za udhibiti wa huduma za bandari, usafiri majini na…
Mh.Mbunge fisi wanajisadia kwenye machinjio yetu kila ifikapo ahsubuhi tunakutana na kinyesi chake
Wananchi katika kijiji cha Lugunga kata ya Lugunga Halmashauri ya wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita wanakabiliwa na changamoto ya uwepo wa Fisi ambao wamekuwa wakijisaidia katika Machinjio ya kijiji hicho…
Watuhumiwa 10 mbaroni kwa kuwalaghai Watanzania kuwapatia kazi na uhamisho
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watuhumiwa 10 akiwamo raia wa Kenya kwa tuhuma mbalimbali zikiwamo kujifanya wakala wa mafunzo ya biashara na kujipatia fedha na…
Uwasilishwaji wa vipaumbele vya bajeti Wizara ya Uchukuzi bungeni
WAZIRI wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amewasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/2025, jijini Dodoma leo, Mei 6, 2024, ambapo ameliomba Bunge…
Wakorea Kaskazini watakiwa kula kiapo cha uaminifu kwenye siku ya kuzaliwa ya Kim Jong Un
Kwa mara ya kwanza tangu kiongozi Kim Jong Un achukue mamlaka mwaka wa 2011, Wakorea Kaskazini walitakiwa kula viapo vya uaminifu katika siku yake ya kuzaliwa, taasisi ya utafiti ya…
Urusi yatangaza mazoezi ya silaha za nyuklia
Urusi inapanga kufanya mazoezi ya matumizi ya silaha za kinyuklia, Wizara ya Ulinzi ilitangaza Jumatatu, siku chache baada ya Kremlin kujibu kwa hasira maoni ya maafisa wakuu wa Magharibi kuhusu…
Paris Saint-Germain wanawania kupindua matokeo dhidi ya Borussia Dortmund
Paris Saint-Germain wanawania kupindua bao 1-0 katika mchezo wa kwanza na kuwashinda Borussia Dortmund katika mechi yao ya marudiano ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa kesho, kwa lengo la…
Msonde awataka walimu kubuni nyezo kutambua uwezo wa mwanafunzi
Naibu Karibu Mkuu Wizara ya Tamisemi anaeyeshughulikia Elimu Dkt. Charles Msonde amewataka walimu kutumia moja ya Kanuni za kuchunguza uwezo wa mwanafunzi na kutumia nyezo zitakazomwezesha mwanafunzi huyo kuelewa vizuri…
Nimejiandaa kuwa rais wa Tanzania
Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Zanzibar, Ismail Jussa Ladhu amesema kuwa wao kama Chama katika miaka yao 10 kama Chama chenye usajili wa kudumu, wameweza kujijenga kitaasisi na hivyo wako tayari…
WATAHINIWA 113,503 KUFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA
Watahiniwa wa Kidato cha Sita 113,504 wamesajiliwa kufanya Mtihani wa kidato cha Sita 2024 ambapo kati yao Watahiniwa wa Shule ni 104,449 na Watahiniwa wa Kujitegemea ni 9,055. Kati ya…