Ningependa Trump awe upande wetu zaidi:Zelenskyy
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy alielezea nia yake ya kutaka kuungwa mkono zaidi na Rais wa Marekani Donald Trump huku akikosoa kutengwa kwa Kyiv katika mazungumzo ya kumaliza vita vya…
Mhe.Katimba atoa maelekezo kwa chuo cha Hombolo kuwajengea uwezo viongozi wa mitaa na vijiji
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Zainab Katimba ametoa maelekezo kwa Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo kuwasiliana na Wakurugenzi Halmashauri zote nchini ambazo hazijatimiza maelekezo ya serikali ya kutoa…
Urusi na Marekani zakubaliana kufanya kazi katika kumaliza vita vya Ukraine
Urusi na Marekani Jumanne zilikubaliana kuanzisha timu za kujadili njia ya kumaliza vita nchini Ukraine baada ya mazungumzo ambayo yaliibua shutuma kali kutoka kwa Kyiv kuhusu kutengwa kwake. Washington ilibainisha…
Rais wa zamani wa Brazil ashtakiwa kufanya njama ya kumuua kwa sumu rais alie madarakani
Rais wa zamani wa Brazil Jair Bolsonaro ameshtakiwa na waendesha mashtaka kwa madai ya njama ya mapinduzi ya kumtilia sumu mrithi wake. Katika jaribio la kusalia madarakani baada ya kushindwa…
Trump na Putin wanaweza kukutana mwezi huu – ripoti
Donald Trump na Vladimir Putin wanaweza kukutana mapema mwezi huu, ingawa mkutano wa ana kwa ana utachukua muda kujiandaa, msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov amesema, kulingana na mashirika ya habari…
A$AP Rocky amepatikana bila hatia ya kumfyatulia risasi rafiki yake wa zamani
Rapa huyo alikuwa ameshtakiwa kwa makosa mawili ya kushambulia kwa kutumia bunduki isiyo ya kiotomatiki dhidi ya rafiki yake wa zamani Terell Ephron, anayejulikana kama A$AP Relli, mnamo Novemba 2021.…
Papa agundulika kuwa na nimonia katika mapafu yote
Papa Francissiku ya Jumataano ameripotiwa kuugua nimonia katika mapafu yote mawili hali mbaya zaidi kwa papa huyo mwenye umri wa miaka 88 ambayo ilizua wasiwasi kuhusu uwezo wake wa kupambana…
Trump anaonekana kuilaumu Ukraine juu ya vita na Urusi
Kulingana na ripoti za jana usiku, rais Donald Trump alipendekeza vita vya Urusi nchini Ukraine vingeweza "kutatuliwa kwa urahisi sana" huku akikosoa ustadi wa mazungumzo wa Kyiv kumaliza mivutano hiyo.…
Hamas kuwaachilia mateka 6 walio hai wa Israel na miili 4 waliofariki kwenye vita
Afisa wa ngazi ya juu wa Hamas anasema kundi hilo la wanamgambo litawaachia huru mateka sita wa Israel siku ya Jumamosi na kurudisha miili ya wengine wanne siku ya Alhamisi,…
Dkt. Diallo: Nunueni pembejeo mapema baada ya kuuza mazao
Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Dkt. Anthony Diallo amewataka wakulima wa pamba kununua mbolea pindi wanapouza mazao yao ili kuwawezesha kuzitumia wakati msimu wa…