Sehemu ya Pili: Bilionea aliewahi kuchimba na Harmonize, anena tusiyoyajua, maisha yake na mengineyo
Ni Agosti 1, 2023 ambapo Ripota wa Ayo TV & Millardayo.com Machupa…
Wafanyabiashara Zanzibar wagoma kufungua maduka, manispaa watajwa
Wafanya Biashara wa Maduka ya Darajani Souk Visiwani Zanzibar Leo hii Jumanne…
TPA yaanza kujitangaza CNN
Mamlaka ya Bandari nchini Tanzania (TPA) imeanza kujitangaza kibiashara kwenye channeli mbalimbali…
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi atoa siku 15 kwa Mkandarasi kukamilisha barabara hii
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Mkame Mbarawa, ametoa agizo kwa mkandarasi…
Mkuu wa Wilaya kupambana na Ma Don- wa Kijijini, ‘Wanajiita Untouchable sisi, tutapeleka migambo’
Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Sophia Kizigo amesema atapambana na Wananchi wanaojimilikisha…
Aung apunguziwa miaka sita Jela
Jeshi la Myanmar limetangaza kupunguza miaka sita kutoka kwenye kifungo cha miaka…
Mwenyekiti wa Klabu ya Simba asema, ‘Kwa Mkapa tutajaza, tumeomba na Uhuru’
Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu amesema wameamua kuandika barua kuiomba…
Wasema Burkina Faso na Mali, ‘Mkiivamia Niger mmetangaza vita’
Burkina Faso na Mali kwa pamoja zimewaonya Wakuu wa Nchi za Jumuiya…
Picha:Makamu wa Rais atembelea banda la kampuni ya Asas Dairies, ‘Ufunguzi wa Maonesho ya Nanenane’ Mbeya
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpango…
Jeshi la Polisi Kanda maalum Dar, limemkata mtuhumiwa ‘Alietoa lugha ya matusi mtandaoni dhidi ya Viongozi’
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limemkamata na linamuhoji…