Waziri mkuu Kassim Majaliwa akiwa ni miongoni mwa viongozi mbalimbali wa serikali ambao wamefika katika msiba wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media aliyefariki nchini Afrika ya Kusini.
MSIBA WA RUGE: Waziri Mkuu alivyowasili nyumbani kwa kina Ruge Mutahaba (+video)
Leave a comment
Leave a comment