Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kitu Kampuni ya Serengeti imewaletea Watanzania
Share
Notification Show More
Latest News
Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
January 27, 2023
Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao
January 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Kitu Kampuni ya Serengeti imewaletea Watanzania
Top Stories

Kitu Kampuni ya Serengeti imewaletea Watanzania

September 21, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Kampuni ya Bia ya Serengeti Breweries Limited ‘SBL’ imezindua kinywaji kipya ikiwa ni kuunga mkono Uchumi wa Viwanda.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella ambaye alihudhuria uzinduzi huo ameeleza kuwa kampuni ya SBL imesaidia kukuza uchumi wa Tanzania kwa kutoa ajira za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja katika mifumo ya mauzo na usambazaji na vile vile hutoa ajira kwa wakulima nchini.

“Hii ni moja ya kampuni zinazotumia mazao yanayozalishwa nchini kwa kiasi kikubwa na hii inatusaidia kuwaelimisha wakulima kulima na kuzalisha mazao yenye ubora zaidi vilevile kwa mlengo wa biashara.” – John Mongella   

Ulipitwa na hii?Mkurugenzi Mkuu mamlaka ya usafiri wa anga TZ anazungumza na waandishi

Hii je? Makonda katangaza kupunguza bei ya viwanja DSM

You Might Also Like

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao

Magaya, Gwajima, Waziri Mkenda wasaka dawa dhidi ya Ukatili

Alichokifanya Rais Samia kwenye siku yake ya kuzaliwa, Ulega afunguka “Ametoa kwa Yatima”

TAGGED: AyoTV, habari daily, TZA HABARI
Millard Ayo September 21, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Zitto Kabwe mbele ya Kamati ya Bunge, Hoja moja kaitolea mifano 10
Next Article Kakamatwa na Bangi Kagera lakini ishu ikawa kwenye kujitetea
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
Top Stories January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
Top Stories January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
Entertainment January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
Entertainment January 27, 2023

You Might also Like

Entertainment

Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa

January 27, 2023
Entertainment

Warembo wanaounda kundi la Tango Supreme kutumbuiza Dar, 27th Jan Elements Masaki

January 27, 2023
Entertainment

Mabibi na Mabwana Nuh Mziwanda ametuletea hii single mpya ‘Nikizipata’

January 26, 2023
Entertainment

PROFILE: Mfahamu Vido Vidox, ripota wa Ayo TV kwa stori za mastaa!!

January 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?