Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Spika Ndugai leo kathibitisha kupokea barua ya Mbunge kujiuzulu
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
March 25, 2023
Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’
March 25, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Spika Ndugai leo kathibitisha kupokea barua ya Mbunge kujiuzulu
Mix

Spika Ndugai leo kathibitisha kupokea barua ya Mbunge kujiuzulu

January 21, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Inatoka bunge Dodoma ambapo leo January 21 2017 Spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Job Ndugai amethibitisha kupokea barua ya kujiuzulu Ubunge iliyotoka kwa aliyekuwa Naibu waziri Ofisi ya waziri mkuu, sera, bunge, kazi, ajira na watu wenye uemavu Dr. Abdallah Possi ambaye ameteuliwa na Rais kuwa balozi.

Taarifa ya spika imeeleza hizi >>> ‘Spika wa bunge Job Ndugai anapenda kuwataarifu Wabunge wote na wananchi kwa ujumla kuwa jana January 20, 2017 amepokea barua ya kujiuzulu ubunge iliyowasilishwa kwake na Dr Abdallah Possi‘

‘Kufuatia barua hiyo iliyozingatia masharti ya katiba ya mwaka 1977 ibara 67 (1) (g) ikisomwa pamoja na ibara ya 149 (1) (d), spika wa bunge amemwandikia rasmi Rais kuwa hivi sasa wabunge wa kuteuliwa na Rais waliopo bungeni ni saba hivyo nafasi zilizo wazi ni tatu baada ya Dr. Possi kujiuzulu‘

ULIPITWA? Sheria inasemaje pale Rais anapoapishiwa nje ya nchi kama wa Gambia? 

You Might Also Like

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

TAGGED: TZA HABARI
Admin January 21, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Alichokiandika Miss TZ 2004 Faraja Nyalandu kuhusu mke wa Trump
Next Article VIDEO: Alichokifanya Trump baada ya kutambua uwepo wa Hillary Clinton kwenye hafla
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
Magazeti March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
Top Stories March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
Entertainment March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
Top Stories March 25, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo

March 25, 2023
Top Stories

Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’

March 25, 2023
Top Stories

Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana

March 25, 2023
Top Stories

Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’

March 25, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?