Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Dr. Manyaunyau hajafungwa !! Mengine aliyopitia? Ukondakta, kuigiza, ushirikina? Amejibu haya..
Share
Notification Show More
Latest News
Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
February 2, 2023
Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Dr. Manyaunyau hajafungwa !! Mengine aliyopitia? Ukondakta, kuigiza, ushirikina? Amejibu haya..
Mix

Dr. Manyaunyau hajafungwa !! Mengine aliyopitia? Ukondakta, kuigiza, ushirikina? Amejibu haya..

November 27, 2015
Share
3 Min Read
SHARE

Katika mitandao ya kijamii leo taarifa ilisambaa kuwa Jongo Salum maarufu kama Dr. Manyaunyau amefunguliwa mashtaka ya utapeli na kutakiwa kwenda jela miaka mitatu sambamba na fidia ya zaidi ya milioni 2.

Mwenyewe leo kaweka wazi ukweli wa mambo na kusema habari hizo si za kweli kwa kuwa kuna mtu ambaye anatumia jina lake na kuwadanganya watu.

Kazi alizowahi kufanya Dr. Manyaunyau kabla ya kufanya kazi ya uganga...”Nimepitia katika changamoto nyingi, kwa ufupi kabla ya kuanza kazi hii aliwahi kuwa mpiga debe, kuvua samaki, msanii wa kundi la Kaole na nilifanya kazi na kina Dr. Cheni na Swebe, na sikuwahi kufikiria sana kama ningekuwa mganga lakini wazee wangu ndio walikuwa wakinisumbua wanirithishe kazi zao”….Dr. Manyaunyau

“Wazazi wangu waliniacha nikiwa mdogo na nilikutana na changamoto nyingi katika kuyakabili maisha, nimelala nje baada ya ndugu zangu kunifukuza na wakati mwingine nilikuwa nauza simu mbovu na matokeo yake naishia polisi” aliongeza.

Kuhusu familia Dr. Manyaunyau amesema ..“Familia ninayo, nimejaliwa kuwa na watoto wawili lakini mpaka sasa sijaoa”

Jinsi jina lake linavyotumiwa na matapeli..“Hili tukio la jana kudaiwa nimeshtakiwa si kweli na mimi sina kesi wala hakuna mtu anayenidai, nafuata taratibu zote na nina vibali vyote vinavyotakiwa, wapo watu ambao wamekuwa wakitumia jina langu vibaya ili kujipatia umaarufu, mimi nasema nafanya kazi zangu vizuri kusaidia jamii na si kingine”.

“Kuna mtu alifanya shughuli zake za uganga na kutumia jina langu, baada ya kushindwa kufanya kile alichotakiwa alishtakiwa lakini si mimi, naomba Watanzania waelewe hili, wapo wengi hata wengine wapo Mikoani ambao wamekuwa wakitumia jina langu, nimekuwa nikijiuliza wanatumia kwa sababu ipi lakini sijapata jibu.. labda lina mafanikio kwao”…

Kuhusishwa na masuala ya ushirikina na wasanii wa muziki..“Unajua wengi wanatuweka katika kundi la washirikina sio kweli, sisi tunaomba kwa njia aina mbili, za jadi na vitabu, watu wanapokuja wanataka kuombewa, pia wasanii wengi wamekuwa wakija kwa ajili ya kuombewa dua kwa mfano anapotaka kutoa album au nyimbo yake ifanye vizuri.. hilo kwangu ni la kawaida”..Dr. Manyaunyau

Anazungumziaje uongozi mpya wa Serikali ya Awamu ya tano?…”Kwa sasa nimeona kuna mabadiliko, lakini ndio mwanzo siwezi kutolea maamuzi kabisa, labda tusubiri baraza la Mawaziri na nini watafanya katika kutufikisha mahali ambapo Watanzania wanataka kufika”..

Hapa kuna SAUTI ya Dr. MANYAUNYAU wakati wa mahojiano..

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram naYouTUBE kwa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE

 

You Might Also Like

Fredy Lowassa akabidhi vifaa vya shule kwa waliofauli 2023

Gynah ni mwimbaji wa kimataifa kenye usiku wa Kahawa

PICHA: Jerry Muro akabidhi madarasa 29 kwa RC Singida

Samsung wafungua duka lao ndani ya Palm village Mikocheni

Hatimaye Miss Tanzania 2020 akabidhiwa zawadi yake

Millard Ayo November 27, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Miili 35 ya watu ilivyopatikana baada ya mashambulizi ya Boko Haram Nigeria..
Next Article Juma Nyosso kwenye headlines na ile ishu ya John Bocco baada ya TFF kuridhia hili …
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
Top Stories February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
Magazeti February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
Top Stories February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
Top Stories February 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

February 2, 2023
Top Stories

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

February 2, 2023
Top Stories

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

February 2, 2023
Top Stories

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

February 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?