Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Top 10 ya viwanja vya ndege bora zaidi duniani kwa mwaka 2017
Share
Notification Show More
Latest News
Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
March 20, 2023
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
March 20, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 20, 2023
March 20, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Duniani > Top 10 ya viwanja vya ndege bora zaidi duniani kwa mwaka 2017
Duniani

Top 10 ya viwanja vya ndege bora zaidi duniani kwa mwaka 2017

March 15, 2017
Share
3 Min Read
SHARE

March 14, 2017 zilitangazwa tuzo ambazo hutolewa kwa Airport bora zaidi kwa mwaka ambapo Changi Airport imeshinda tuzo hiyo kwa mara ya tano mfululizo kuwa “World’s Best Airport” katika tuzo  za Skytrax World Airport Awards 2017.

Tuzo zimetengazwa mjini Amsterdam March 14 baada ya utafiti ulioegemea kwa mamilioni ya wasafiri duniani kote.

Nimekuwekea hapa list kamili ya Skytrax World’s Best Airport Award 2017.

1: Singapore Changi Airport – Singapore

Changi Airport umeshinda tuzo ya Skytrax World’s Best Airport kwa mara ya tano mfululizo ambapo miongoni mwa mambo yanayowavutia wasafiri ni uwepo wa ukumbi wa cinema ambao huonesha movie mpya kila siku bure, swimming pool na bustani nzuri ya vipepeo.

2: Tokyo International Airport Haneda – Japan

Haneda Airport inakamata nafasi ya pili ikiwa ni moja kati ya airport mbili kutoka Japan kwenye list hii.

3: Incheon International Airport – Seoul, Korea Kusini

Incheon International Airport imekuwa katika tatu bora tangu 2013.

4: Munich Airport – Ujerumani

Munich Airport imeanguka nafasi moja mwaka huu na kuifanya kuwa namba 4.

5: Hong Kong International Airport

Uliwahi kushinda namba moja miaka ya nyuma lakini mwaka huu Hong Kong International Airport imeshika nafasi ya tano ikitetea nafasi hiyo iliyowahi kuikamata 2016.

6: Hamad International Airport – Doha, Qatar

Ulifunguliwa rasmi 2014 na sasa Hamad International Airport iliyopo Doha imevuka nafasi nne na kukamata nafasi ya sita – mwaka 2015 ulikuwa katika nafasi ya 22.

7: Chubu Centrair International Airport – Nagoya, Japan

Chubu Centrair International Airport upo umbali wa mile 22 kusini ya Nagoya katikati ya Japan na unakamata nafasi ya 7, kwa mujibu wa SkyTrax.

8: Zurich Airport – Switzerland

Katika list ya 2017 Zurich Airport imeanguka nafasi moja baada ya 2016 kukamata nafasi ya 7.

9: London Heathrow Airport – Uingereza

London Heathrow Airport ndiyo airport iliyokuwa busy zaidi Ulaya kwa kusafirisha abiria wengi na katika Skytrax World Airport 2017 inakamata nafasi ya 9.

10: Frankfurt Airport – Ujerumani

Miongoni mwa airport zilizokuwa busy Ulaya Frankfurt Airport ipo na inakamata nafasi ya 10 kwenye Skytrax World Airport Awards 2017.

Video: Ulikosa kuiona Treni ya kifahari ilivyoondoka DSM kuelekea Afrika Kusini? Nimekuwekea hapa chini bonyeza play kuitazama.

BREAKING NEWS zote na stori za mastaa utazipata kwa Reporter wako MillardAyo, hakikisha umejiunga na mimi kwenye Facebook, Twitter, Instagram, Snapchat, Youtube, APP kwenye ANDROID na IOS kote huko kwa jina hilohilo la @millardayo

You Might Also Like

Silent Ocean imetupitisha kwenye Masoko ya vifaa mbalimbali Dubai, tazama (video+)

Forbes wamtangaza Melinda alieachana na Bill Gate kuwa Bilionea mpya, ashika namba hii

Picha za visiwa 10 vizuri zaidi duniani

Utafiti: Kuanzia miaka 55 watu wengi huchukia ajira zao….sababu?

NEW YORK! Swizz Beatz kamtumia salamu Diamond Platnumz

TAGGED: duniani, Top 10
Millard Ayo March 15, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: ‘Najua watatupinga lakini ukiona mtoto analia sana ujue viboko vimemuingia’ Diamond
Next Article “Fedha za Dawa za Kulevya zinaenda kukauka DSM” – Paul Makonda
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
Top Stories March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
Top Stories March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
Top Stories March 20, 2023
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
Top Stories March 20, 2023

You Might also Like

Top Stories

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.

March 20, 2023
Top Stories

Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .

March 20, 2023
Top Stories

Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.

March 20, 2023
Top Stories

Video: Jamaa atumia dakika 8 kula Wali na nyama kilo mbili

March 19, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?