Leo October 6, 2018 Baraza la wazee CHADEMA jijini Arusha limemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Magufuli kuruhusu vyama vya kisiasa kumchagua Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi ili kuwepo kwa uchaguzi wa huru na haki.
Tamko la CHADEMA juu ya uteuzi wa Mwenyekiti wa NEC
Leave a comment
Leave a comment